Stereo Singasinga album yako kali sana, inabidi ujiongeze

2016 alikuwa anakuja mara kibao kwa anko ili ampeleke Wasafi kwa bodaboda. Enzi hizo wasafi bado wako Sinza.
Wee jamaa kumbe unaishi kwa anko na anko ni dereva bodaboda!! Naelewa sasa kwa nini upo so bitter na kila kitu kwenye life 😂😂😂😂😂
 
Wee jamaa kumbe unaishi kwa anko na anko ni dereva bodaboda!! Naelewa sasa kwa nini upo so bitter na kila kitu kwenye life 😂😂😂😂😂
Kwani nilikwambia naishi Masaki?

Mimi naishi maisha yangu timilifu na yenye uhuru kamili.

Halafu huyo Anko usifikiri ni kama kina Uncle Shamte. Ni bro tu kama kina One the Incredible. Na yeye pia alikuwa tamaduni.

Maisha ni chaguo. Unaweza kuchagua uhuru wa kufikiri na kuishi mwenyewe.

Au kuwa chawa, na msukule wa mtu.

Halafu usidharau boda boda, hao wasanii unaowaona wakubwa wengi hata boda boda achilia mbali hata nauli yake tu hawana.

Wasanii kama kina Chinbees wanadaiwa na mabodaboda mpaka wanakimbia madeni.
 
Picha inaanza niko border na run, bongo jua kali and im get older nadhani.../


Niko high kama nimevuta mboga ya man, so get ready nimeshaweka order ya gun.../


Sijulikani basata, nafanya yangu masaka, niko chimbo machaka, mwili mzima machata.../


washa taa, giza likitanda huja mashaka.../


Siwajui na sina haja kipi mnataka?


Ukonga ndo nyumbani si kigogo, skonga niliumiza ndonga si kidogo.../


Usiache shule mziki haulipi dogo, kua hapa kuna hitaji miaka wiki ndogo.../


Tena nakuja kama basha kama mende, sio kila mamba ni mamba wengine kenge.../


Watoto wapo kwenye mic wape peremende, acha iende mbele kwa mbele kanyaga twende.../
Jina la hii ngoma
 
Back
Top Bottom