Stereo Singasinga album yako kali sana, inabidi ujiongeze

Moja kati ya wasanii wachache wa Hiphop nchi hii naoweza kukaa na kuwasikiliza ni Stereo aka Singasinga aka Chundabadi.

Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki.

Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100 na nimejaribu kutazama jamaa ana subscribers hata 50 awafiki.

Yani watu wa Hiphop hapo ndio wananifanya nawashangaa hawapo serious kabisa na biashara yao.

Alafu yeye ana encourage watu wanunue album kwa mfumo wa kuzituma WhatsApp. Sijui shule alienda kupoteza muda au vp

Huyu jamaa album yake ni kali sana laiti kama angewekeza vya kutosha ingemlipa sana ila no promotion no strategies za kueleweka.

Unafanya colabo kali na Rayvanny unashindwa kutoa hata kichupa cha mkopo album iende town.

Kweli Hiphop is dead.
Pengine YouTube channel yake bado haujakidhi vigezo vya kulipwa ndio maana hata hahangaiki nayo.
Pengine kuuza albamu yake ndio inampa mtonyo.
Yaani huwezi jua.
Harafu kwani yeye anasemaje?
 
Moja kati ya wasanii wachache wa Hiphop nchi hii naoweza kukaa na kuwasikiliza ni Stereo aka Singasinga aka Chundabadi.

Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki.

Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100 na nimejaribu kutazama jamaa ana subscribers hata 50 awafiki.

Yani watu wa Hiphop hapo ndio wananifanya nawashangaa hawapo serious kabisa na biashara yao.

Alafu yeye ana encourage watu wanunue album kwa mfumo wa kuzituma WhatsApp. Sijui shule alienda kupoteza muda au vp

Huyu jamaa album yake ni kali sana laiti kama angewekeza vya kutosha ingemlipa sana ila no promotion no strategies za kueleweka.

Unafanya colabo kali na Rayvanny unashindwa kutoa hata kichupa cha mkopo album iende town.

Kweli Hiphop is dead.
You are not serious either, unatoa ushauri wa kihisia hisia tu, ati atoe "kichupa hata cha mkopo" unadhani hicho kitamfikisha wapi? unajua ubora wa kichupa cha mkopo kulinganisha na kichupa chenye uwekezaji?

Nafikiri anachohitaji ni serious management ndo itafanya yote ikiwemo suala la masoko ama kama anayo basi ishauri management yake, maana umeongea kana kwamba biashara ya muziki ni kama vile biashara ya vitumbu, umeanza na stereo halafu ukaishia na stereo ilihali kuna mnyororo mkubwa sana hapa katikati.

Una nia nzuri ya kumshauri ila approach yako ktk kumshauri haijakaa vizuri unalalamika lamika tu.
 
Yani kwa Tamaduni ..mimi list yangu iko HV

Nikki mbishi

Stereo

One the incredible

Songa

P the Mc

Gheto ambassador

Nash mc

Kad go

Zaiid

Disasta vina
Halipo songa mpandishe dizasta mkuu, Nikki Mbishi namuelewa sana shida sikuizi ananingusha sana sio niki yule kabisa
 
You are not serious either, unatoa ushauri wa kihisia hisia tu, ati atoe "kichupa hata cha mkopo" unadhani hicho kitamfikisha wapi? unajua ubora wa kichupa cha mkopo kulinganisha na kichupa chenye uwekezaji?

Nafikiri anachohitaji ni serious management ndo itafanya yote ikiwemo suala la masoko ama kama anayo basi ishauri management yake, maana umeongea kana kwamba biashara ya muziki ni kama vile biashara ya vitumbu, umeanza na stereo halafu ukaishia na stereo ilihali kuna mnyororo mkubwa sana hapa katikati.

Una nia nzuri ya kumshauri ila approach yako ktk kumshauri haijakaa vizuri unalalamika lamika tu.
Huyo yeye kapandisha mzuka baada ya kumuona Rayvanny humo. Hajui chochote zaidi kuwa pungasese msukule pale Wasafi.
 
Labda sijui..Ila nadhani..HipHop ikiimbwa nnje ya kuyagusa maisha halisi ya Mtz huwa naonaga ni Kama takataka...then HipHop inatakiwa sio mamistari magumu ambayo hata hayaelewiki..

Sasa ..unakuta mtu anaimba HipHop za mapenzi..mistari migumu kinoma Yani...

Hivi Roma na Stamina wanaimbaga stail Gani wale...Kuna yule dogo aliyeimbaga Who I am , Mimi ni nani...jamaa anaimba real life...msikilizaji unapata meseji send unaona huu wimbo unanigusa...Kuna ile ya Stamina vs Pro JAy ya baba..it's real life ...

Ama angalia nyimbo za PRo Jay ni HipHop za mapenzi lakini zinaeleweka..

So wasanii wa HipHop wabadilike kuimba majimbo magumu magumu yasiyoeleweka plus yasiyo beba uhalisia wa real life ..wajiandae kufeli tu
 
Labda sijui..Ila nadhani..HipHop ikiimbwa nnje ya kuyagusa maisha halisi ya Mtz huwa naonaga ni Kama takataka...then HipHop inatakiwa sio mamistari magumu ambayo hata hayaelewiki..

Sasa ..unakuta mtu anaimba HipHop za mapenzi..mistari migumu kinoma Yani...

Hivi Roma na Stamina wanaimbaga stail Gani wale...Kuna yule dogo aliyeimbaga Who I am , Mimi ni nani...jamaa anaimba real life...msikilizaji unapata meseji send unaona huu wimbo unanigusa...Kuna ile ya Stamina vs Pro JAy ya baba..it's real life ...

Ama angalia nyimbo za PRo Jay ni HipHop za mapenzi lakini zinaeleweka..

So wasanii wa HipHop wabadilike kuimba majimbo magumu magumu yasiyoeleweka plus yasiyo beba uhalisia wa real life ..wajiandae kufeli tu
Nikki mbishi anakwambia usipo ielewa jua haikua kwa ajili yako
 
Back
Top Bottom