hivi tatizo ni nini hasa??Rais wa tuhuma Dk. Slaa ni mwalimu wa wassira kama hatakuwa profesa wake wa tuhuma.
Nani anaongoza kutuhumu wenzake kati ya wassira na Dk. Slaa?
Angalau Christopher Mtikila anajaribu kuwapeleka mahakamani anaowatuhumu.
hii nchi ina vivutio vingi sana......
Nyerere aliamua kuanza kuweka vivutio vya utalii pale ikulu,
aliweka tausi, ndege wazuri sana wale, akaweka hata ndege mbuni...
Naona marais waliomfuata wameiga nyayo zake!! Kudos!!!
Hizi siasa za Wasira, sasa hazitofautiani na wanafunzi sekondari za O level ambao wanachafuana kutokana na teenager age zao wakati wakuchagua Kaka Mkuu na au Dada Mkuu..Nadhani pia anataarifa finyu sana na kuingiza maisuala ya kikanisa kwne siasa ni sawa na kudharau Kanisa Katiliki na maamuzi yake.Wassira amewambia watu wa karibu yake kuwa amepokea waraka kutoka Vatican unaohusiana na Dr Slaa na kama wakatoliki hawalielewi hilo wafuatilie Vatican.
hahaha kweli mzee ana akili za mbayuwayu, kaona ameminywa alete ushahidi wa alichokisema kaona aongezee uongo mwingine mkubwa zaidi, WASIRA AMEGEUKA SEKRETARI WA POP BENEDICT WA 11
hivi tatizo ni nini hasa??
Mbona anasinzia hovyohovyo sana huyu kivutio wetu wa Gombe?
Habari Leo wanasema Wassira ...ameshawaomba radhi maaskofu...naamini katakiwaa afanye hivo,.....as of Vatican kuwahusisha kwenye siasa za ndani....muwakilishi wa papa atapeleka malalamiko rasmi ikulu na nchi itatakiwa kuomba tena radhi ,that is how uropokaji wa mtu mmoja can cost the country...
Hapo bado uingereza nao wAna malalamiko juu ya Mwigulu....Ccm iwapeleke viongozi wake kozi za diplomacy