TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Uongo mwingine ni wa kitoto kabisa, hivi wazee kama hawa huwa wanachaguliwa na watu wa aina gani maana kila akiibuka ni point less, ni vema ukawekwa ukomo wa kutawala ktk katiba ingawa siasa haina umri inabidi hili liangaliwe kwa macho mawili. Uongozi waachiwe vijana na wazee wenye hekima na busara zao wawe washauri tu.