Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Kuelekea Uchaguzi wa Madiwani siku chache zijazo CCM imeamua kuongeza mashambulizi ili kujihakikishia ushindi. Makada wakongwe na Viongozi wa Kitaifa wanaelekea huko Nwanza wakiongozwa na Mhesh Stephen Wassira.Aidha katika timu hiyo pia atakuwepo Waziri wa Mambo ya Ndani Mhesh Mwigulu Nchemba, Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi Mhesh Abdalah Bulembo na Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde
Kuelekea Uchaguzi wa Madiwani siku chache zijazo CCM imeamua kuongeza mashambulizi ili kujihakikishia ushindi. Makada wakongwe na Viongozi wa Kitaifa wanaelekea huko Nwanza wakiongozwa na Mhesh Stephen Wassira.Aidha katika timu hiyo pia atakuwepo Waziri wa Mambo ya Ndani Mhesh Mwigulu Nchemba, Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi Mhesh Abdalah Bulembo na Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde