Stephen Sackur wa BBC HARDtalk akubali kumhoji Rais Magufuli

BBC Hardtalk Studios waandae taulo la kumfutia jasho Jpm, Stephen Sackur Avae Mask Dhidi ya Povu litakatokuwa linamrukia,"I am the Stone and also Angels leader mr Sackur, Come to tanzania and Enjoy my Bomberdias" am reasure you there is no more smell from the Goats, Wabheja sana mtangazaji"kalibu Tanzania U to see fly ova kwa mfugale nahene lolo.
Maswali yakizidi Utasiki bhebhe Zuhula yunusi zoogo!! Hembu mwambie bhasi huyu Bebelu Apunguze.
Hahahahaha kaka Umeua AISEE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais hana huo muda wa kukaa anahojiwa na vyombo vya habari.
Rais wetu anamambo mengi muhimu ya kufanya kulinganisha na hicho mlichoomba.

HAYO MAHOJIANO YATAMSAIDIA NINI BIBI YANGU KULE KIJIJINI?

Sent using Jamii Forums mobile app


Hahaaaaa mmeshajua Phd feki haiwezi hata kuongea kingereza, aliulizwa swali na mwandishi kama syo mseveni magazeti kesho yake yangeandika kichina maana alikuwa kwanza hajaelewa kaulizwa nini kwa kuwa lugha ilimgonga lakini baada ya kuelezwa alichoulizwa aliishia chang chong ching :p:p:p:p
 
Rais hana huo muda wa kukaa anahojiwa na vyombo vya habari.
Rais wetu anamambo mengi muhimu ya kufanya kulinganisha na hicho mlichoomba.

HAYO MAHOJIANO YATAMSAIDIA NINI BIBI YANGU KULE KIJIJINI?

Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana bibi yako kule kijijini ana njaa kali, kula kwa shida akikwambia mtumie hata laki mbili unaona kama anakuzningu kumbe na wewe vyuma vimekaza.
 
Rais Magufuli hawezi kukubali kama swali la Mwandishi wa habari wa Uganda mpaka Rais Museveni ilibidi aokoe jahazi sasa huko unafikiri itakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Rais wetu anaweza kujibu kwa lugha yake Kiswahili sio lazima ajibu kwa Kiingereza/Kifaransa/ Kijerumani n.k tunahitaji ajibu hoja kwa hoja sio lugha!
 
Mkulu lazima apige chenga ya mwili,lugha ya malikia imempita pembeni anajifanya kuimiza matumizi ya kiswahili.


Sawa wewe na aliyeandika kuomba Mahojiano mnajiona wajanja wakati ameandika mataputapu tu. Kama ulienda Darasani ukasoma vizuri unaona hicho Kiingereza chake kipo Sahihi? Tunapenda kushadadia ujinga tu,tubadilike!
 
Hahaaaaa mmeshajua Phd feki haiwezi hata kuongea kingereza, aliulizwa swali na mwandishi kama syo mseveni magazeti kesho yake yangeandika kichina maana alikuwa kwanza hajaelewa kaulizwa nini kwa kuwa lugha ilimgonga lakini baada ya kuelezwa alichoulizwa aliishia chang chong ching :p:p:p:p
Ninakumbuka Museveni ilibidi a digest swali ili dr aweze kumeza. Akashia kusema where are you from? Mwandish alijibu England ndipo alichomeka maneno aliyoyaelewa yeye mwenyewe. Lile jibu hata Museveni aliyekaa pembeni hakulielewa.
 

Attachments

  • IMG_-sstmfu.jpg
    IMG_-sstmfu.jpg
    74.3 KB · Views: 24
Yaani rais wetu ahojiwe kumjibu tundu lissu? Yaani msaliti analinganishwa na rais? Kuna watu size ya lissu ndani ya serikali, lakini siyo rais. Rais hana muda wa kujibizana na lissu. Jpm ni rais wa nchi bwana; who is tundu lissu msaliti?
Au hii ni njia ya kumtafutia kiki huyo lissu?

Wajua hueleweki unasimamia nin! Lisu msaliti au kumpa kiki Lisu, nipe tofauti kati ya wew na jiwe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Rais hana huo muda wa kukaa anahojiwa na vyombo vya habari.
Rais wetu anamambo mengi muhimu ya kufanya kulinganisha na hicho mlichoomba.

HAYO MAHOJIANO YATAMSAIDIA NINI BIBI YANGU KULE KIJIJINI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za BAVICHA huwa zinawatosha wao wenyewe. Rais mwenye majukumu aache kuwasikiliza wadau wa madini aende akafanye mahojiano na Sackur, eti kwa sababu kauonyesha wazi ubabaishaji wa TL.
 
Rais hana muda kupoteza kujibizana na watu wasiojielewa. Jitu linatembea kuichafua nchi kila mahali sasa naye Rais azunguke kila chombo kujibizana na lisu? Umemshawishi mwandishi ili ufurahishe nafsi yako? Ahojiwe asijiwe nchi ina mambo mengi ya maendeleo ya kufanya sio kufurahisha mipasho.
Hawa hawana majukumu mazito ya kitaifa, wanadhani na rais pia ni kama wao.
 
..wachambuzi wanataka kuwalinganisha Jiwe na TL.

..kwa hiyo Jiwe itabidi ahojiwe na mtangazaji yuleyule aliyemhoji TL.

..pia ili kuweka usawa itabidi na lugha ya mahojiano iwe sawa.

..sasa kama unataka kumbeba Jiwe basi mahojiano yafanyike kwa Kiswahili na Hardtalk wakodishe muongoza kipindi toka Tanzania.]
Nimewafuatilia sana akina Tim Sebastian na Stephen
Hawa ni watu wanaofanya 'homewrok yao' kwanza kabla ya kufanya interview
Hawakutani na mtu bila kujua wanataka kuzungumzia nini

Ungeniuliza ningesita sana!!!

TL ni mwanasheria ambaye sasa ni mwanasiasa ndio maana walikwenda sambamba
Ile lugha ya sheria na mpangilio ukiwemo ufahamu wa mambo ni kitu muhimu sana, kinyume chake ni kuadhirika
 
Wananchi ndio tuliomuajiri Mh.Rais atutumukie,sasa wewe unataka kumpangia kazi nyingine kama nani!

Kwa mfano sasa hivi anashuhulikia suala la madini, lipi ni muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom