Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Mhe. Stephen J. Masele, Naibu Waziri wa Nishati & Madini jana kwa kujiamini amesema Balozi wa Uingereza nchini ni jasusi na anao ushahidi akifanya Ujasusi TZ. Hapa nimeambatanisha CV yake kwa wale ambao hawanayo ili tukimjadili uwe unamjua angalau kwa kiasi Fulani alianzia Kazi huko kama Afisa Mikopo, katika benki za Standard Chartered kasha Stanbic na hatimaye TIGO halafu akapata bingo/zali/bahati ya Ubunge 2010 hatimaye uwaziri. Huenda 2015 akawa mgombea urais. Nawasilisha