chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Binafsi nakupongeza sana , na ukiwa bukoba utajijenga sana kisiasa kwani bukoba mjini kuna siasa za aina yake maana hata njia mpya za wizi wa kura kutoka ccm zimeanzia bukoba mjini. OWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA, unaweza na ugombee tu