Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

msijaribu kunchanganya..MUNGU yupo nimesema kama hutaki sikulazimishi.
sema battle na Point za Kiranga siwezi..maana ana point mpk anaweza kukuondoa kwenye mstari ukajikuta unaishiwa Hoja unabaki unaongea Pumba less.

ili kuficha ninachowaza...mimi ntamjibu kwa jibu 1 kua MUNGU YUPO...akinambia nimpe ushahidi nitamjibu jibu la pili kwamba SINA...mjadala utaishia hapo.

Vita ya debate na huyu kiumbe ngumu sana kuishinda maana anatetea vitu vyenye uthibitisho ila wengine tunakubali tusivyoweza vithibitisha.

SO

Mungu yupo...na staki ulizwa A wala B.nimemaliza.
 
Soma Aya ya 4.
Mungu ameumba mbingu na ardhi.
Sasa kama wewe unabisha.
UNATAKIWA UTUAMBIE MBINGU NA ARDHI HAJAUMBA MUNGU.
alafu ututajie aliyeziumba
Hujathibitisha, unahubiri.

Sijaomba mahubiri, nimetaka uthibitisho.

Hata mimi naweza kuhubiri kwamba Comrade Kipepe, yule kibonzo wa gazeti la Sani, ndiye Mungu aliyeumba mbingu na dunia, na kaumba alivyotaka yeye.

Utakubali?
Screenshot_2019-07-05-21-27-25.jpeg
 
sema battle na Point za Kiranga siwezi..maana ana point mpk anaweza kukuondoa kwenye mstari ukajikuta unaishiwa Hoja unabaki unaongea Pumba less.

ili kuficha ninachowaza...mimi ntamjibu kwa jibu 1 kua MUNGU YUPO...akinambia nimpe ushahidi nitamjibu jibu la pili kwamba SINA...mjadala utaishia hapo.

Vita ya debate na huyu kiumbe ngumu sana kuishinda maana anatetea vitu vyenye uthibitisho ila wengine tunakubali tusivyoweza vithibitisha.

SO

Mungu yupo...na staki ulizwa A wala B.nimemaliza.
Kimsingi, mtu anayesema Mungu yupo, bila ya kuwa na ushahidi, ni mtu mwenye kuamini habari za uwepo wa Mungu.

Mimi sina ugomvi wala haja ya mabishano na mtu anayeamini Mungu yupo.

Mimi nina ugomvi na mabishano na mtu anayesema anajua Mungu yupo.

Huyo anayeamini Mungu yupo, anatumia haki yake ya kikatiba, anatumia haki ya utu kama ilivyotangazwa katika Universal Declaration of Human Rights tarehe 10 December 1948.

Mimi ni kati ya watu wanaotetea haki za watu kuamini wanavyotaka, na hivyo, hata kama mimi siamini sawa na wewe, natetea uhuru wako wa kuamini unavyotaka.

Yani kama Tanzania ikija serikali inayotaka kupiga marufuku Imani za Mungu na dini, nitaipinga vikali serikali hiyo. Nitaungana na waamini Mungu na dini katika kuipinga serikali inayotaka kupiga marufuku dini na Imani ya Mungu.

Kwa nini?

Kwa sababu ninaongozwa na kanuni inayosema, kila mtu ana haki na uhuru wa kuamua aamini au asiamini, aamini au asimaini nini na aamini au asiamini vipi, wapi etc.

Kwa hivyo, hata kama mimi siamini dini wala Mungu, napigania haki za waamini dini kwa sababu ni haki zao za msingi, za kikatiba na za kiutu.

Ila ukileta habari za mjadala wa dini JF nakutaka ulete uthibitisho, JF is "Where We Dare To Talk Openly".

Ukiabudu Mungu wako nyumbani kwako au kanisani kwako, sina habari nawe, nakuacha utimize haki yako ya kikatiba.
 
Soma Aya ya 4.
Mungu ameumba mbingu na ardhi.
Sasa kama wewe unabisha.
UNATAKIWA UTUAMBIE MBINGU NA ARDHI HAJAUMBA MUNGU.
alafu ututajie aliyeziumba View attachment 1147570
Logical non sequitur.

Yani hapo umesema kwamba wewe ni mtoto wa Comrade Kipepe.Kibonzo wa gazeti la Sani.

Halafu unanipa challenge, mimi ambaye sijui baba yako ni ni nani, nikuambie baba yako ni nani.

Nikishindwa kukuambia baba yako ni nani, basi lazima baba yako ni Comrade Kipepe.

Kama baba yako si Comrade Kipepe, ni lazima nimjue na nikueleze baba yako ni nani.

Logical non sequitur.

Wewe baba yako ni Comrade Kipepe?
 
Ndio najua kusoma na ndiyo maana baada ya kusoma ulichoandika ndipo nikauliza hilo swali.
Kama unajua kusoma basi utakuwa na upungufu kweñye kipengele cha pili.

Nacho ni cha kuelewa.

Laiti ungekuwa unajua kusoma na kuelewa bila shaka ungeelewa kwamba jibu la swali lipo kwenye hiyo hiyo comment yangu.

Hebu fanya uisome vizuri na kuielewa!.
 
First of all, sina sababu ya kumjua KIRANGA but I wanna make him avoid complacencies.
The man is too complacent kwa sababu ameridhika na mambo anayoyajua yeye na hayupo tayari kufundishwa wala kuelekezwa kitu ambacho hakijui.

Siwezi kutokomea kwa hoja nyepesi kama hizi Mkuu.

I'm ready to proceed defending Sir God against your claim.
Nilisema awali kwamba angalia sana usije ukatokomea mazima kama Yesu alivyotokomea.

Nadhani post yako hii imesadifu nilichokisema,umesepa!.

Kuhusu Kiranga kusema karidhika na anachokijua na hataki kujifunza toka kwa wengine napingana nawe.

Mshikaji hayuko hivyo,anapenda kujifunza toka kwa wengine.

Ndiyo maana kaweka kitabu cha Stephen Hawking hapa.

Shida yenu ni pale mnapoleta maelezo ama maandiko yasiyokuwa na logical consistence huku mkilazimisha watu wayameze kama yalivyo.

Hapo lazima mpate shida aise!.
 
Kama unajua kusoma basi utakuwa na upungufu kweñye kipengele cha pili.
Nacho ni cha kuelewa.
Laiti ungekuwa unajua kusoma na kuelewa bila shaka ungeelewa kwamba jibu la swali lipo kwenye hiyo hiyo comment yangu.
Hebu fanya uisome vizuri na kuielewa!.
Sawa ila naomba kuuliza,wewe unawezaje kuitambua harufu(kuwa ndiyo yenyewe ama sio) ambayo inadaiwa ni ushahidi katika kuthibitisha uwepo wa Mungu?
 
Nilisema awali kwamba angalia sana usije ukatokomea mazima kama Yesu alivyotokomea.
Nadhani post yako hii imesadifu nilichokisema,umesepa!.
Kuhusu Kiranga kusema karidhika na anachokijua na hataki kujifunza toka kwa wengine napingana nawe.
Mshikaji hayuko hivyo,anapenda kujifunza toka kwa wengine.
Ndiyo maana kaweka kitabu cha Stephen Hawking hapa.
Shida yenu ni pale mnapoleta maelezo ama maandiko yasiyokuwa na logical consistence huku mkilazimisha watu wayameze kama yalivyo.
Hapo lazima mpate shida aise!.
Mtu ambaye anaweza kusema hataki kujadiliana na wewe kisa hujasoma kitabu fulani ambacho yeye amesoma,kwamba ukitaka kujadiliana nae basi kwanza lazima ukasome hicho kitabu na ukimalize ndio uje kujadiliana nae.
 
ndo serikali yetu ya sasa . wanamquote mungu kila sekunde wapatayo while wana abuse human rights and their constitutional powers , at the same time wamewaconvince a large group of people that they are doing it for the good of the country.
And they are succeeding because of people's prayers.. ! ! ! ! ! ! ! last time i believed in this was when i was 15 ,

its sad that there are adults who would rather you keep quiet than prove to them that their whole life philosophy is a lie.

Moreover they have been used and abused.


Dini ya Mungu inayohusiana na wanasiasa na siasa sijui ni dini gani? Lakini ukweli ni kwamba ukizungumzia dini- mfano ya Kikristo - sidhani kama inaruhusu/kuhusiana moja kwa moja na kuchanganya dini na siasa.

Hivyo inakubalika kuheshimu serikali. Ingawa hairuhusiwi kushiriki katika mambo ya kisiasa, bali kuheshimu mamlaka za serikali zinazotutawala. Jambo hilo linapatana na amri ya Biblia inayosema: “Kila nafsi na ijitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa.” (Waroma 13:1 ) Tunatii sheria, tunalipa kodi, na kuunga mkono jitihada za serikali za kuandaa hali bora kwa ajili ya raia. Badala ya kushiriki katika jitihada za kubadili serikali, tunafuata shauri la Biblia la kusali kwa ajili ya “wafalme na wale wote walio katika cheo cha juu,” hasa wakati ambapo wanafanya maamuzi yanayoweza kuathiri uhuru wa ibada.

Eti kwamba kiongozi flani amatokana na Mungu - Uongo mweupe.

"The leader who works for the people is not made by the Heaven. The leader who works for the people is created by the hands of the people themselves. "
 
Dini ya Mungu inayohusiana na wanasiasa na siasa sijui ni dini gani? Lakini ukweli ni kwamba ukizungumzia dini- mfano ya Kikristo - sidhani kama inaruhusu/kuhusiana moja kwa moja na kuchanganya dini na siasa.

Hivyo inakubalika kuheshimu serikali. Ingawa hairuhusiwi kushiriki katika mambo ya kisiasa, bali kuheshimu mamlaka za serikali zinazotutawala. Jambo hilo linapatana na amri ya Biblia inayosema: “Kila nafsi na ijitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa.” (Waroma 13:1 ) Tunatii sheria, tunalipa kodi, na kuunga mkono jitihada za serikali za kuandaa hali bora kwa ajili ya raia. Badala ya kushiriki katika jitihada za kubadili serikali, tunafuata shauri la Biblia la kusali kwa ajili ya “wafalme na wale wote walio katika cheo cha juu,” hasa wakati ambapo wanafanya maamuzi yanayoweza kuathiri uhuru wa ibada.

Eti kwamba kiongozi flani amatokana na Mungu - Uongo mweupe.

"The leader who works for the people is not made by the Heaven. The leader who works for the people is created by the hands of the people themselves. "

Mkuu, wewe ni mfuasi wa Mashahidi wa Jehova? Nimeziona chembe chembe zao katika andiko lako....

Dini na siasa...ya Kaisari apewe Kaisari na ya Mungu Apewe Mungu
 
Dini ya Mungu inayohusiana na wanasiasa na siasa sijui ni dini gani? Lakini ukweli ni kwamba ukizungumzia dini- mfano ya Kikristo - sidhani kama inaruhusu/kuhusiana moja kwa moja na kuchanganya dini na siasa.

Hivyo inakubalika kuheshimu serikali. Ingawa hairuhusiwi kushiriki katika mambo ya kisiasa, bali kuheshimu mamlaka za serikali zinazotutawala. Jambo hilo linapatana na amri ya Biblia inayosema: “Kila nafsi na ijitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa.” (Waroma 13:1 ) Tunatii sheria, tunalipa kodi, na kuunga mkono jitihada za serikali za kuandaa hali bora kwa ajili ya raia. Badala ya kushiriki katika jitihada za kubadili serikali, tunafuata shauri la Biblia la kusali kwa ajili ya “wafalme na wale wote walio katika cheo cha juu,” hasa wakati ambapo wanafanya maamuzi yanayoweza kuathiri uhuru wa ibada.

Eti kwamba kiongozi flani amatokana na Mungu - Uongo mweupe.

"The leader who works for the people is not made by the Heaven. The leader who works for the people is created by the hands of the people themselves. "
Unavyoquote barua za biblia kama moral highground inaonyesha tayari huwezi fikiri nje yake.
Heshima ya utawala bora haitoki kwa mungu bali hutokana na serikali kuwa na maslahi sawa na majority ya raia.

Kuheshimu utawala kisa hadithi za biblia ni namna yakucontroll watu wasitetee haki na maslahi yao binafsi. pia ndio sababu ya kukwama kwa maendeleo ya kisayansi ulaya during the DARK AGE 1000AD-1400AD.
Hii kwasababu utawala wa MAPAPA uliona sayansi kama tishio kwa muelezo wa dunia waliotoa kwa watu. mfano kuzimu ,mbinguni ni wapi ? dunia inaumri gani? je kweli dunia ndio ipo katikati ya solar system? n.k

kama huyawahi kujiuliza vitu vya karatasi ya kwanza ya biblia. mimea iliumbwa kabla ya jua, je iliishije? hiyo NURU hapo mwanzo ulitokea wapi kama jua na nyota ziliumbwa siku ya nne? mungu hakujua JUA pia ni nyota? giza na mchana vilitokeaje bila JUA ? kama mungu aliumba mwezi kama mwanga mdogo jee inamaana mwezi una mwanga wake ? mbona kuna kupatwa kwa mwezi?
nashangaa watu wengi bado hawajajiuliza maswali niliojiuliza sekondari,

Vyombo vya dini vinapokea TAX REDUCTION mfano shule niliyosoma ST..,pia makanisa na misikiti hayalipi INCOME TAX huku yana uza elimu yakujirudia rudia kila mwaka na kuingiza kipato (sadaka) ndo maana vinapromote the status quo..

Matatizo ya ulaya ya 1300 AD ndo tunayo sasa Tanzania . Wengi humu ni part or symptom of the problem.

Tukiendelea kutumia vitabu vya karne 2000 zilizopita , hatuta weza kufanya reseach zakutransform maisha yetu in food , medicine , climate change ,judiciary n.k
Every scientific discovery is a nail in the religious COFFIN.
Hata marekani wavumbuzi ni atheists wengine wanakula matunda yao.
Kuna reseach evidence inayoonyesha jamii zenye dini ndizo maskini.

40% ya badget yetu ipo funded na donor countries ambapo kodi inayokusanywa kwenye prostitution ,night clubs na pornsites ulaya na marekani, INDIRECTLY inalipa mishahara ya WATANZANIA n.k sababu pesa ni pesa hakuna ya dhambi na safi..
 
Proof 1. Using physics.

1. God is said to be the epitome of perfection.

2.Perfection, as expressed in thermodynamics language, is the lowest possible entropy level that cannot be lowered further. Any deviation from this lowest possible entropy is deviation from perfection. The second law of thermodynamics covers that.

3.The lowest possible entropy is nothingness.

4. If God is perfection, then God is nothingness.

5.If God is nothingness, then God does not exist.



Proof 2, abstract logic.

1. God is said to be all knowing, all loving and all capable.

2. An all knowing, all loving and all capable God would not like to see anyone suffer, that would contradict his all loving nature.

3.An all knowing, all loving and all capable God would have the means to create a universe in which suffering is not possible, in fact he wouldn't lack the capability make all existence suffering free. Allowing suffering anywhere would contradict his all knowing, all loving and all capable natures.

4. We do see suffering in the world. This contradicts the existence of the all knowing, all loving and all capab;le God.

5. This all knowing, all loving and all capable God cannot co exist with suffering. This is a mutually exclusive existence. Either this God exists and suffering is impossible, or suffering is possible and this God does not exist.

6. Suffering exists.

7. Therefore, this God does not exist.
Kuna jamaa aliwahi niuliza

Je mungu anaweza tengeneza jiwe kubwa asiloweza kulibeba !?
 
Toeni fact zenu zote lakini msisahau kuna kiumbe anaye iongoza hii dunia,
Jichunguzee kwanza ulivyo,haki utaamini uwepo wa huyo kiumbe
 
Back
Top Bottom