Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Hivi ndivyo nilivyo mimi.
Kwamba siku mojamoja mambo yanatulia

Ila ukipitia kwenye dhikri tena bila kupoa ukitimba humu ndio unatuletea yale tuliyoyazoea.

Nadhani leo umesali rakaa mbili za sunna kabla ya kukoment
 
Define uchawi, Uganga, Elimu ya Nyota. Elimu ya majini.

Kwa sababu uchawi unaweza kuushangaa kumbe ni tricks saikolojia imechanganywa na kemia na baiolojia.

Uganga unaweza kuwa baiolojia na tricks za saikolojia.

Elimu ya Nyota unaweza kuwa tricks za saikolojia na unajimu.

Inakuwaje umeamua kuishi katika maisha ya dhana ? Hivi ukisema jambo hulijui unapungukiwa na nini au utaulizwa kwanini hulijui ?

Hizi kauli "....unaweza ...." zinaonyesha hujui lolote juu ya hivyo ulivyoulizwa,kusema "sijui" kwa usilolijua ni "nusu ya elimu" yaani ndio kujitambua kwenyewe,sasa unavyojitutumua una haribu na kujichoresha tu.
 
Kwamba siku mojamoja mambo yanatulia

Ila ukipitia kwenye dhikri tena bila kupoa ukitimba humu ndio unatuletea yale tuliyoyazoea.

Nadhani leo umesali rakaa mbili za sunna kabla ya kukoment

Hapana,nitakuwa nimeotea leo.
 
Kwamba siku mojamoja mambo yanatulia

Ila ukipitia kwenye dhikri tena bila kupoa ukitimba humu ndio unatuletea yale tuliyoyazoea.

Nadhani leo umesali rakaa mbili za sunna kabla ya kukoment

Inaonekana huwa kuna muda naharibu sana sio ? Unatakiwa uwe unanistua ninapo haribu si unajua lengo ni kujenga.
 
Kwamba siku mojamoja mambo yanatulia

Ila ukipitia kwenye dhikri tena bila kupoa ukitimba humu ndio unatuletea yale tuliyoyazoea.

Nadhani leo umesali rakaa mbili za sunna kabla ya kukoment


Hivi na wewe huamini uwepo wa Mungu sio ? Au nakufananisha ?
 
Inaonekana huwa kuna muda naharibu sana sio ? Unatakiwa uwe unanistua ninapo haribu si unajua lengo ni kujenga.
Ujenge na Nani..? Wakati mwengine huwa nafurahi kuona aibu yenu_siwachukii ninyi ila sipendi mtazamo wa chama chenu
 
Define uchawi, Uganga, Elimu ya Nyota. Elimu ya majini.

Kwa sababu uchawi unaweza kuushangaa kumbe ni tricks saikolojia imechanganywa na kemia na baiolojia.

Uganga unaweza kuwa baiolojia na tricks za saikolojia.

Elimu ya Nyota unaweza kuwa tricks za saikolojia na unajimu.

Elimu ya majini inaweza kuwa sayansi ya ku navigate baharini, kwenye mito na maziwa ya maji.

Swali lako halina maana sana kama halina definition ya terms.

Hilo moja.

Halafu, kama kweli uchawi upo, kama unavyoaminika na wengi, watu wanaua wenzao kwa uchawi, huo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeruhusu uchawi au uovu wowote uwepo.
Tatizo unajifanya kwamba unajua kila kitu, na kinyume chake ndio sahihi.

Una ubishi wa kitoto, na kama ungekuwa una nia ya kujua kama Mungu yupo hill lingeshaisha muda mrefu.

Tatizo unajifanya mjuaji.

Umeulizwa huko juu kuhusu Socrates hujatoa jibu mpaka sasa.

Uchawi na Shetani ni Mali na mmiliki wake, sasa unasema kama Shetani/uchawi upo basi Mungu hawezi kuwepo!!??

Kwamba kama uovu upo Na mahakama inayohukumu waovu haipo sababu mahakama inayopenda watu waishi kwa ustaarabu haiwezi ruhusu?

Sihitaji kukupa definition ya hayo unayouliza Ila Niko tayari kukupa nauli nikupeleke Tanga ama Morogoro nikufikishe kwa wazee ukajionee mwenyewe...!

Ubishi wa kujijaza kichwa kwamba unaakili sana kwa kupinga uwepo wa Mungu haukusaidii.

Ungekuwa na akili sana ungefanya mambo yanayoisaidia jamii yetu ya Afrika kupiga hatua, lakini wapi..., umekalia "Hakuna Mungu, hakuna Mungu"

Tuna Ebola, tuna Malaria, tuna Magonjwa ya mimea, tuna shida za maji, umeme kama UNA AKILI SANA, mbona usifanye kutoa mchango wako kwa jamii tukusifu, tuseme Kiranga ana akili kavumbua hiki na kile?
 
Naomba unitenganishie kati ya "Imani" na "Kujua" ?!
Imani ni neno lenye matumizi sahihi kidini

Ili upate maana iliyo sawia ya neno hilo yakupasa uwe na mtazamo wa kidini_wenye dini ndio mnajua maana halisi ya neno hilo

Mimi sio wa kidini_kwa kulijua hilo kitambo tu nimeacha kulitumia kwa kuona linapelekea maana tofauti kwa wengine

Ila kwa neno 'kujua' nafahamu linatokana uthibisho wenye uhakika wa Jambo au taarifa_kuna kingine Mufti..?
 
Tatizo unajifanya kwamba unajua kila kitu, na kinyume chake ndio sahihi.

Una ubishi wa kitoto, na kama ungekuwa una nia ya kujua kama Mungu yupo hill lingeshaisha muda mrefu.

Tatizo unajifanya mjuaji.

Umeulizwa huko juu kuhusu Socrates hujatoa jibu mpaka sasa.

Uchawi na Shetani ni Mali na mmiliki wake, sasa unasema kama Shetani/uchawi upo basi Mungu hawezi kuwepo!!??

Kwamba kama uovu upo Na mahakama inayohukumu waovu haipo sababu mahakama inayopenda watu waishi kwa ustaarabu haiwezi ruhusu?

Sihitaji kukupa definition ya hayo unayouliza Ila Niko tayari kukupa nauli nikupeleke Tanga ama Morogoro nikufikishe kwa wazee ukajionee mwenyewe...!

Ubishi wa kujijaza kichwa kwamba unaakili sana kwa kupinga uwepo wa Mungu haukusaidii.

Ungekuwa na akili sana ungefanya mambo yanayoisaidia jamii yetu ya Afrika kupiga hatua, lakini wapi..., umekalia "Hakuna Mungu, hakuna Mungu"

Tuna Ebola, tuna Malaria, tuna Magonjwa ya mimea, tuna shida za maji, umeme kama UNA AKILI SANA, mbona usifanye kutoa mchango wako kwa jamii tukusifu, tuseme Kiranga ana akili kavumbua hiki na kile?
Unasema kwamba Mungu wako muweza yote uwezo wake ni sawa na wa mahakama isiyoweza yote?
 
Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe
By Brandon Specktor, Senior Writer | October 17, 2018 04:23pm ET

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

In a new book that was published posthumously, Stephen Hawking, who died in March, wrote that it is impossible for God to exist in our universe.


From his desk at Cambridge University and beyond, Stephen Hawking sent his mind spiraling into the deepest depths of black holes, radiating across the endless cosmos and swirling back billions of years to witness time's first breath. He viewed creation as a scientist, and when he was called to discuss creation's biggest puzzles — Where do we come from? What is our purpose? Are we alone? — he answered as a scientist, often to the chagrin of religious critics.

In Stephen Hawking's final book "Brief Answers to Big Questions," published Tuesday (Oct. 16) by Bantam Books, the professor begins a series of 10 intergalactic essays by addressing life's oldest and most religiously fraught question of all: Is there a God? [Big Bang to Civilization: 10 Amazing Origin Events]

Hawking's answer — compiled from decades of prior interviews, essays and speeches with the help of his family, colleagues and the Steven Hawking Estate — should come as no surprise to readers who have followed his work, er, religiously.

  • aHR0cDovL3d3dy5saXZlc2NpZW5jZS5jb20vaW1hZ2VzL2kvMDAwLzEwMi8yMTYvb3JpZ2luYWwvc3RlcGhlbi1oYXdraW5nLU9ORS1USU1FLVVTRS5qcGc=
Credit: Frederick M. Brown/Getty Images


"I think the universe was spontaneously created out of nothing, according to the laws of science," Hawking, who died in March, wrote. "If you accept, as I do, that the laws of nature are fixed, then it doesn't take long to ask: What role is there for God?"
In life, Hawking was a vocal champion of the Big Bang theory — the idea that the universe began by exploding suddenly out of an ultradense singularity smaller than an atom. From this speck emerged all the matter, energy and empty space that the universe would ever contain, and all that raw material evolved into the cosmos we perceive today by following a strict set of scientific laws. To Hawking and many like-minded scientists, the combined laws of gravity, relativity, quantum physics and a few other rules could explain everything that ever happened or ever will happen in our known universe.
"If you like, you can say the laws are the work of God, but that is more a definition of God than a proof of his existence," Hawking wrote.

With the universe running on a scientifically guided autopilot, the only role for an all-powerful deity might be setting the initial conditions of the universe so that those laws could take shape — a divine creator who caused the Big Bang to bang, then stepped back to behold His work.

"Did God create the quantum laws that allowed the Big Bang to occur?" Hawking wrote. "I have no desire to offend anyone of faith, but I think science has a more compelling explanation than a divine creator."
Hawking's explanation begins with quantum mechanics, which explains how subatomic particles behave. In quantum studies, it's common to see subatomic particles like protons and electrons seemingly appear out of nowhere, stick around for a while and then disappear again to a completely different location. Because the universe was once the size of a subatomic particle itself, it's plausible that it behaved similarly during the Big Bang, Hawking wrote.
"The universe itself, in all its mind-boggling vastness and complexity, could simply have popped into existence without violating the known laws of nature," he wrote.

That still doesn't explain away the possibility that God created that proton-size singularity, then flipped the quantum- mechanical switch that allowed it to pop. But Hawking says science has an explanation here, too. To illustrate, he points to the physics of black holes — collapsed stars that are so dense, nothing, including light, can escape their pull.
Black holes, like the universe before the Big Bang, condense into a singularity. In this ultra-packed point of mass, gravity is so strong that it distorts time as well as light and space. Simply put, in the depths of a black hole, time does not exist.

Because the universe also began as a singularity, time itself could not have existed before the Big Bang. Hawking's answer, then, to what happened before the Big Bang is, "there was no time before the Big Bang."

"We have finally found something that doesn’t have a cause, because there was no time for a cause to exist in," Hawking wrote. "For me this means that there is no possibility of a creator, because there is no time for a creator to have existed in."

This argument will do little to persuade theistic believers, but that was never Hawking's intent. As a scientist with a near-religious devotion to understanding the cosmos, Hawking sought to "know the mind of God" by learning everything he could about the self-sufficient universe around us. While his view of the universe might render a divine creator and the laws of nature incompatible, it still leaves ample space for faith, hope, wonder and, especially, gratitude.

"We have this one life to appreciate the grand design of the universe," Hawking concludes the first chapter of his final book, "and for that I am extremely grateful."
Originally published on Live Science.

cc James Comey

The big Bang theory inatenganishwa vipi na Mungu kuumba ulimwengu? Big bang is just sub set of creation. Au walitaka aseme wakati anaumba alifanyaje mpaka vitu vikatokea.
Kama anasema let there be light and there was light. Je unategemea wakati hiyo light inajiumba hakukuwa na some quantum reaction?
The Bible just tells Mungu aliumba haikusema how. So whether it's big bang or whatever, the bottom line for me, ni uthibitisho kwamba big bang was not commanded by God.
Hizo laws za quantum kwani haziwezi zikawa ndani ya hiyo set ya creation? It's true time haikuwepo ndo maana hata biblia inasema hapo mwanzo. Haikusema kipindi cha zama fulani bali imesema hapo mwanzo...

Huyo anayetafuta kuthibitisha kama ni kweli Mungu ndie alieumba, Kwanza anatakiwa kuthibitisha kwamba Mungu hahusiki na hizo theories wanazozikubali kuhusika kupelekea uumbaji.

Mbona hata bible inasema pale kwa Ayubu 38:33:


Job 38:
38 Then the Lord spoke to Job out of the storm. He said:

2 “Who is this that obscures my plans
with words without knowledge?
3 Brace yourself like a man;
I will question you,
and you shall answer me.
4 “Where were you when I laid the earth’s foundation?
Tell me, if you understand.
5 Who marked off its dimensions? Surely you know!
Who stretched a measuring line across it?
6 On what were its footings set,
or who laid its cornerstone—


33 Do you know the laws of the heavens?
Can you set up God’s[a] dominion over the earth?


Wanadamu wanahangaika kujua ulimwengu wote ili katika kujua ulimwengu wote wanaamini wanazeweza kuyajua maarifa yote ya Mungu ndo maana wamewekewa ukomo wa kuujua Ulimwengu wote.


Ecclesiastes 3

11 ...............: also he hath set the world in their heart, so that no man can find out the work that God maketh from the beginning to the end
 
The big Bang theory inatenganishwa vipi na Mungu kuumba ulimwengu? Big bang is just sub set of creation. Au walitaka aseme wakati anaumba alifanyaje mpaka vitu vikatokea.
Kama anasema let there be light and there was light. Je unategemea wakati hiyo light inajiumba hakukuwa na some quantum reaction?
The Bible just tells Mungu aliumba haikusema how. So whether it's big bang or whatever, the bottom line for me, ni uthibitisho kwamba big bang was not commanded by God.
Hizo laws za quantum kwani haziwezi zikawa ndani ya hiyo set ya creation? It's true time haikuwepo ndo maana hata biblia inasema hapo mwanzo. Haikusema kipindi cha zama fulani bali imesema hapo mwanzo...

Huyo anayetafuta kuthibitisha kama ni kweli Mungu ndie alieumba, Kwanza anatakiwa kuthibitisha kwamba Mungu hahusiki na hizo theories wanazozikubali kuhusika kupelekea uumbaji.

Mbona hata bible inasema pale kwa Ayubu 38:33:


Job 38:
38 Then the Lord spoke to Job out of the storm. He said:

2 “Who is this that obscures my plans
with words without knowledge?
3 Brace yourself like a man;
I will question you,
and you shall answer me.
4 “Where were you when I laid the earth’s foundation?
Tell me, if you understand.
5 Who marked off its dimensions? Surely you know!
Who stretched a measuring line across it?
6 On what were its footings set,
or who laid its cornerstone—


33 Do you know the laws of the heavens?
Can you set up God’s[a] dominion over the earth?


Wanadamu wanahangaika kujua ulimwengu wote ili katika kujua ulimwengu wote wanaamini wanazeweza kuyajua maarifa yote ya Munug ndo maana wamewekewa ukomo wa kuujua Ulimwengu wote.


Ecclesiastes 3

11 ...............: also he hath set the world in their heart, so that no man can find out the work that God maketh from the beginning to the end
Kama Mungu wa Biblia ni wa kweli, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliweza kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini ameumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Umelielewa swali?

Unaweza kulijibu?

Kama umelielewa na unaweza kulijibu, lijibu.

Kama hujalielewa, uliza ueleweshwe.

Angalizo, jibu kama umeelewa swali tu.
 
Kama Mungu wa Biblia ni wa kweli, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliweza kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini ameumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Umelielewa swali?

Unaweza kulijibu?

Kama umelielewa na unaweza kulijibu, lijibu.

Kama hujalielewa, uliza ueleweshwe.

Angalizo, jibu kama umeelewa swali tu.

Kila jambo lina kanuni ili kiweze kuwepo. Ndo maana anamuuliza Ayubu .. Unazijua Kanuni zilizotumika ?
Ndo maana alipanda mti wa mauti na akatoa maelekezo.... matunda yake yasiliwe.
 
Tatizo unajifanya kwamba unajua kila kitu, na kinyume chake ndio sahihi.

Una ubishi wa kitoto, na kama ungekuwa una nia ya kujua kama Mungu yupo hill lingeshaisha muda mrefu.

Tatizo unajifanya mjuaji.

Umeulizwa huko juu kuhusu Socrates hujatoa jibu mpaka sasa.

Uchawi na Shetani ni Mali na mmiliki wake, sasa unasema kama Shetani/uchawi upo basi Mungu hawezi kuwepo!!??

Kwamba kama uovu upo Na mahakama inayohukumu waovu haipo sababu mahakama inayopenda watu waishi kwa ustaarabu haiwezi ruhusu?

Sihitaji kukupa definition ya hayo unayouliza Ila Niko tayari kukupa nauli nikupeleke Tanga ama Morogoro nikufikishe kwa wazee ukajionee mwenyewe...!

Ubishi wa kujijaza kichwa kwamba unaakili sana kwa kupinga uwepo wa Mungu haukusaidii.

Ungekuwa na akili sana ungefanya mambo yanayoisaidia jamii yetu ya Afrika kupiga hatua, lakini wapi..., umekalia "Hakuna Mungu, hakuna Mungu"

Tuna Ebola, tuna Malaria, tuna Magonjwa ya mimea, tuna shida za maji, umeme kama UNA AKILI SANA, mbona usifanye kutoa mchango wako kwa jamii tukusifu, tuseme Kiranga ana akili kavumbua hiki na kile?
BARIKIWA SANA NDUGU..... MTU MAKINI SANA WW.
 
Kila jambo lina kanuni ili kiweze ku kuwepo. Ndo maana anamuuliza Ayubu .. Unazijua Kanuni zilizotumika ?
Ndo maana alipanda mti wa mauti na akatoa maelekezo.... matunda yake yasiliwe.
Hujajibu swali nililokuuliza, na ulilojibu sijakuuliza.

Unaelewa hilo?
 
Back
Top Bottom