Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

I honestly admit that, we are living in the world of abundant knowledge. Basically, in this universe there people with high knowledge. These understood how things goes especially when it comes to paradoxical issues to how man come to existance, the universe and God.
However, there lot of explanation denies the existence of God instead assume sciences as root of things. On the other hand, have you thought, "what makes science?"
 
I honestly admit that, we are living in the world of abundant knowledge. Basically, in this universe there people with high knowledge. These understood how things goes especially when it comes to paradoxical issues to how man come to existance, the universe and God.
However, there lot of explanation denies the existence of God instead assume sciences as root of things. On the other hand, have you thought, "what makes science?"
Before going to what "makes science?", one must answer and understand "what is science?".

The one thing that I have discovered over the years is that, the way the universe looks and feel at the large scale, at which we could directly observe as humans, is very different. Understanding the universe at the basic level is very counterintuitive.

For example, at the large scale, the universe seems to be more ordered. Planet revolve around stars, physics, chemistry and biology follow certain laws that makes things very predictable, causality is very primary.

If you look at the universe at the quantum level on the other hand, it is very probabilistic and knowledge about it becomes incomplete. At some point this was thought to be a result of imprecise measures or a lack of knowledge and precicion on our part. But if you take something like Heisenber'g Uncertainty Principle for example, you begin to see this lack of precision as a characteristic of reality itself, not a flaw in our measurement or knowledge. The universe seems to act more probabilisti.

If you take causality for example, our large scale experience assumes causality is unbroken and sacred, but under Einsteins Relativity, causality has to be clarified to be redefined under a frame of reference. In quantum physics causality is even more complicated by the much disputed principle of locality.

In the quantum world, causality itself is disputed.

So, for those people arguing the necessity of God as the primary mover (never mind the logical non sequitur of assuming the primary mover must be God), the very argument for this rest on our pedestrian understanding of causality.

Fore more on causality and the quantum world, see https://physicstoday.scitation.org/do/10.1063/PT.6.1.20180328a/full/
 
Mimi niliisha waambia hawa watu wa aina ya Kiranga kuwa"KISICHOKUWEPO HAKINA JINA,HAKIHISIKI,HAKITAMKWI,NA WALA HAKIJADILIKI.
Kama ulisoma walau kuanzia elimu ya sekondari kuna vitabu tulivitumia kujibia kiingereza na Kiswahili.

Kuanzia kizazi changu kielimu cha miaka ya 1996 tulikuwa na wakina Okonkwo (Things fall apart), kina Sikamona ndani ya zawadi ya ushindi, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo (Kiu ya Haki) na wengineo.

Walikuwepo pia kina Hawa the bus driver na Mabala the farmer kwa F1 na F2.

Tuliwajadili ma characters hawa na mpaka leo hii mtu ukimwambia afanye i margination ya Hawa the bus driver bila shaka atakwambia ni lijimama fulani lililojaa mwili na minguvu mingi.

Kwa kuwa characters hawa wana majina, tuliwajadili, tuliwahisi kifikira, tukawatamka na kujibia mitihani uhusika wao je,

Kwa maelezo yako wakina Okonkwo,Sikamona, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo na Hawa the bus driver wapo kiuhalisia, nje ya dhana ya kufikirika?
Kiranga na wote wanaomfuata, uthibitisha uwepo wa MUNGU wao wenyewe kwa kumjadili tu MUNGU.
Kivipi?

Kwani tukianza kujadili habari za kina Harakati za Pimbi,Kipepe,Lodilofa, Sokomoko na Ndumila kuwili wa gazeti la Sani enzi hizo, hapo tayari hao watu wanakuwa wapo kweli kiuhalisia, nje ya masimulizi ya kufikirika pekee!?

Unaelewa ya kwamba Mungu nae amebuniwa na kuingizwa ndani ya vitabu mnavyovisema vya Mungu, kama ambavyo kina Harakati za Pimbi walivyoingizwa ndani ya gazeti la Sani!?
 
Kama ulisoma walau kuanzia elimu ya sekondari kuna vitabu tulivitumia kujibia kiingereza na Kiswahili.

Kuanzia kizazi changu kielimu cha miaka ya 1996 tulikuwa na wakina Okonkwo (Things fall apart), kina Sikamona ndani ya zawadi ya ushindi, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo (Kiu ya Haki) na wengineo.

Walikuwepo pia kina Hawa the bus driver na Mabala the farmer kwa F1 na F2.

Tuliwajadili ma characters hawa na mpaka leo hii mtu ukimwambia afanye i margination ya Hawa the bus driver bila shaka atakwambia ni lijimama fulani lililojaa mwili na minguvu mingi.

Kwa kuwa characters hawa wana majina, tuliwajadili, tuliwahisi kifikira, tukawatamka na kujibia mitihani uhusika wao je,

Kwa maelezo yako wakina Okonkwo,Sikamona, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo na Hawa the bus driver wapo kiuhalisia, nje ya dhana ya kufikirika?

Kivipi?

Kwani tukianza kujadili habari za kina Harakati za Pimbi,Kipepe,Lodilofa, Sokomoko na Ndumila kuwili wa gazeti la Sani enzi hizo, hapo tayari hao watu wanakuwa wapo kweli kiuhalisia, nje ya masimulizi ya kufikirika pekee!?

Unaelewa ya kwamba Mungu nae amebuniwa na kuingizwa ndani ya vitabu mnavyovisema vya Mungu, kama ambavyo kina Harakati za Pimbi walivyoingizwa ndani ya gazeti la Sani!?
Asante sana.

Akikujibu naomba ni tag.

Habari ya kusema kwamba kila kinachotajwa kipo, itamaanisha kwamba, ukiwa na mvulana B mwenye miaka 10 ambaye ni mtoto wa kuzaliwa na mwanamme A, mwenye miaka 40, kisha ukasema mvulana B mwenye miaka 10 ni baba yake mzazi wa mwanamme A mwenye miaka 40, ile kusema hivyo tu kutamfanya mvulana B mwenye miaka 10 awe baba wa mwanamme B mwenye miaka 40.

Ndicho tunachoambiwa hapa, kwamba chochote utakachoweza kusema kipo, kwa sababu kisingekuwepo, usingeweza kukisema.

Tunaambiwa mvulana wa miaka 10 anaweza kuwa baba mzazi.wa mwanamme mwenye miaka 40.

Kwa sababu tumeweza kusema hilo tu. Ingekuwa hilo haliwezekani, tusingeweza kulisema.

Ndiyo ujinga tulioambiwa hapa.
 
RAFIK IYO NATURE ORIGINI YAKE NI NINI???
Nature is a matter neither created nor destroyed what we witness today is merely a part of a process(nature) among many processes that took place many years ago and still undergo many different changes.

The same to you the same to the big-bang.
 
Understanding, "what is science", is an important and useful stage on only one direction towards understanding the universe, God and man existence. Here, I agree that, science and all it intends shouldn't ignored.
Having physics, biology, chemistry, and other fied of science doesn't means that, man existence or universe as we perceive and understand originate from science instead implies man's ability.
Therefore, it is important to understand that, science as we have it, how we understand it and its applications; all that reflects man. There is nothing, whether what we see or not, what we understand or not and what we perceive in this world until is conceived and explained by man.
In this world filled of abundant of knowledge, understanding what is science is important and useful and people should take that direction. However, more effort should be on, " what makes science" to understand what is science.
 
Kama ulisoma walau kuanzia elimu ya sekondari kuna vitabu tulivitumia kujibia kiingereza na Kiswahili.

Kuanzia kizazi changu kielimu cha miaka ya 1996 tulikuwa na wakina Okonkwo (Things fall apart), kina Sikamona ndani ya zawadi ya ushindi, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo (Kiu ya Haki) na wengineo.

Walikuwepo pia kina Hawa the bus driver na Mabala the farmer kwa F1 na F2.

Tuliwajadili ma characters hawa na mpaka leo hii mtu ukimwambia afanye i margination ya Hawa the bus driver bila shaka atakwambia ni lijimama fulani lililojaa mwili na minguvu mingi.

Kwa kuwa characters hawa wana majina, tuliwajadili, tuliwahisi kifikira, tukawatamka na kujibia mitihani uhusika wao je,

Kwa maelezo yako wakina Okonkwo,Sikamona, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo na Hawa the bus driver wapo kiuhalisia, nje ya dhana ya kufikirika?

Kivipi?

Kwani tukianza kujadili habari za kina Harakati za Pimbi,Kipepe,Lodilofa, Sokomoko na Ndumila kuwili wa gazeti la Sani enzi hizo, hapo tayari hao watu wanakuwa wapo kweli kiuhalisia, nje ya masimulizi ya kufikirika pekee!?

Unaelewa ya kwamba Mungu nae amebuniwa na kuingizwa ndani ya vitabu mnavyovisema vya Mungu, kama ambavyo kina Harakati za Pimbi walivyoingizwa ndani ya gazeti la Sani!?
Hayo ni majina yaliyo chaguliwa na
waandishi kuwa wakilisha watu halisi.
Sasa wewe niambie jina MUNGU limetumika kumwakilisha nani?.
 
Understanding, "what is science", is an important and useful stage on only one direction towards understanding the universe, God and man existence. Here, I agree that, science and all it intends shouldn't ignored.
Having physics, biology, chemistry, and other fied of science doesn't means that, man existence or universe as we perceive and understand originate from science instead implies man's ability.
Therefore, it is important to understand that, science as we have it, how we understand it and its applications; all that reflects man. There is nothing, whether what we see or not, what we understand or not and what we perceive in this world until is conceived and explained by man.
In this world filled of abundant of knowledge, understanding what is science is important and useful and people should take that direction. However, more effort should be on, " what makes science" to understand what is science.
You have it backwards.

You cannot understand what makes science until you understand what is science.

You cannot understand what makes what you dont know, until you understand what you dont know.

Reading the last part of your post, you seem to want to understand what makes what you don't know/ haven't defined (science), before understanding/ defining what you dont undestand (science).

It is like saying "I want to understand what makes A, without understanding or defining what is A".

That is a fool's errand.
 
Asante sana.

Akikujibu naomba ni tag.

Habari ya kusema kwamba kila kinachotajwa kipo, itamaanisha kwamba, ukiwa na mvulana B mwenye miaka 10 ambaye ni mtoto wa kuzaliwa na mwanamme A, mwenye miaka 40, kisha ukasema mvulana B mwenye miaka 10 ni baba yake mzazi wa mwanamme A mwenye miaka 40, ile kusema hivyo tu kutamfanya mvulana B mwenye miaka 10 awe baba wa mwanamme B mwenye miaka 40.

Ndicho tunachoambiwa hapa, kwamba chochote utakachoweza kusema kipo, kwa sababu kisingekuwepo, usingeweza kukisema.

Tunaambiwa mvulana wa miaka 10 anaweza kuwa baba mzazi.wa mwanamme mwenye miaka 40.

Kwa sababu tumeweza kusema hilo tu. Ingekuwa hilo haliwezekani, tusingeweza kulisema.

Ndiyo ujinga tulioambiwa hapa.
Hapa ndipo kwenye kuchanganua kati ya kuelimika na wingi wa kupita madarasa mengi.Yaani anayesema yeye ni msomi,eti kashindwa kujua kuwa Mvalana "A" katumika kumuwakilisha mvulana halisi!.

Kama shule zenyewe ndiyo zinafundisha visivyo kuwepo.Kuna maana gani basi kusoma kisicho kuwepo?.
 
Nature is a matter neither created nor destroyed what we witness today is merely a part of a process(nature) among many processes that took place many years ago and still undergo many different changes.

The same to you the same to the big-bang.
OKAY THANKS ..YOU SAYED ITS A MATTER WHICH IS NEVER CREATED.. SO THEN HOW DOES NON-CREATED THING DO OCCUR???
 
I honestly admit that, we are living in the world of abundant knowledge. Basically, in this universe there people with high knowledge. These understood how things goes especially when it comes to paradoxical issues to how man come to existance, the universe and God.
However, there lot of explanation denies the existence of God instead assume sciences as root of things. On the other hand, have you thought, "what makes science?"
WHO HAS THE SUPREME KNOLEDGE TO EXPLAIN ATLEAT THE ORIGIN OF HOUSFLY???
 
Hayo ni majina yaliyo chaguliwa na
waandishi kuwa wakilisha watu halisi.
Kama ndivyo unaweza ukaniambia Ngoswe anapatikana wapi,alizaliwa lini,alisoma wapi,namba zake za mawasiliano na anafanya nini kwa sasa?
Sasa wewe niambie jina MUNGU limetumika kumwakilisha nani?.
Kumwakilisha character ambae ni wa kufikirika,asiyekuwepo kwenye uhalisia.

Yupo ndani ya nadharia tu na huwezi kuthibitisha uwepo wake kama ambavyo huwezi kumleta hapa Kipepe wa kwenye gazeti la sani na kutuambia huyu ndiye yeye.

Kama unadhani yupo thibitisha uwepo wake.
Cc Kiranga
 
Kama ndivyo unaweza ukaniambia Ngoswe anapatikana wapi,alizaliwa lini,alisoma wapi,namba zake za mawasiliano na anafanya nini kwa sasa?

Kumwakilisha character ambae ni wa kufikirika,asiyekuwepo kwenye uhalisia.

Yupo ndani ya nadharia tu na huwezi kuthibitisha uwepo wake kama ambavyo huwezi kumleta hapa Kipepe wa kwenye gazeti la sani na kutuambia huyu ndiye yeye.

Kama unadhani yupo thibitisha uwepo wake.
Cc Kiranga
Kwa akili yake huyu, tukitunga neno ambalo liko kinyume na MUNGU, tuliite UGNUM (tumezipindua zile herufi za neno MUNGU kuanzia kulia kwendakushoto, kuwakilisha kinyume cha MUNGU kuwepo) neno hili liwe na maana ya kutokuwepo MUNGU, ukweli kwamba tumeweza kulifikiria na kulitunga hilo neno utamaanisha MUNGU hayupo.

Kwa sababu tumeweza kuumba neno linalowakilisha kutokuwepo kwa MUNGU.

Kwa akili zake, MUNGU anaweza kuwepo na asiwepo katika wakati huo huo mmoja.

Kwa sababu kuna watu wameweza kuumba neno MUNGU, linalowakilisha kuwapo kwa MUNGU, na wengine wameweza kuumba neno UGNUM, linalowakilisha kutokuwapo kwa Mungu.

Ingekuwa mambo ni rahisi hivyo, kusingekuwa na mtu anayehitaji kufanya kazi.

Kila mtu angejiita trillionaire, na kwa kujiita hivyo angekuwa trillionaire. Chaos.

Ridiculous!
 
Kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho. ... Hivi unaweza kuthibitisha kitu Kisicho kuwepo kweli '?
Hao wanaotaka uthibitisho wa kinachosemwa hakipo sidhani kwamba hata maana ya uthibitisho wanaielewa.

Kwanza naona uwaulize watoe definition yao ya uthibitisho.
 
Back
Top Bottom