Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,436
- 4,429
Nimefika hapa kujionea stendi mpya. Hali ni mbaya sana vyooni. Kinyesi kimetapakaa ovyo. Abiria na wageni wanalipa sh 200 kwa huduma za hovyo kabisa. Wanakusanya pesa tu. Kipindupindu kitabisha hodi. Manispaa na jiji wanastahili lawama. Hali ni mbaya.