Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Je itakuwa busara kufahamu jina lake kamili?
Wewe jina lako nani?Mtaje jina maana marehemu wote walitajwa mpk kwny magazeti
RIP mdau
Itakuwa hakuwa na smartphone R.I.P kwa ndugu yetuDuh poleni sana, hajaingia online tangu 2018.
Nikifa mtajuaWewe jina lako nani?
Alipoona misukosuko kwa max akaona akaushe kabisa magufuli ilikua shida
Jamaa ana logic, ni vzr tukajua ni nani katika wale 19 kwa nia njema kabisa!!!Wewe jina lako nani?
Haina umuhimu.Nikifa mtajua
Basi sawaaaaHaina umuhimu.
Nia gani njema ni umbea tu .Jamaa ana logic, ni vzr tukajua ni nani katika wale 19 kwa nia njema kabisa!!!
Tuliza munkari au ni wewe?Nia gani njema ni umbea tu .
Kwanini umuanike marehemu kwa vitu ambavyo yeye mwenyewe alitaka viwe siri?Tuliza munkari au ni wewe?