PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
mi bado sijaona cha ajabu zidi ya Mawaziri wapya; cha msingi kama Makatibu Wakuu wa kila Wizara hawatakuwa makini na kazi zao na hawa Mawaziri wapya wataendelea kulaumiwa pia. Kiutendaji Makatibu wakuu ndio watendaji wakuu kwa kila Wizara; uozo na uvundo unaojitokeza auwezi kuisha kama Makatibu wakuu hawatawajibishwa pia.
Zitto amesema waende kazini sawa lakini kazi yao hasa wanaijua????.
Zitto amesema waende kazini sawa lakini kazi yao hasa wanaijua????.