STATEMENT OF ACT-WAZALENDO ON SADC SUMMIT 2019: Peace without Justice and Democracy is a Negative Peace

Zito kwanza unapenda sana kuandika kingereza kuonesha unalenga mataifa fulani hasa mabeneru kufikisha ujumbe wako wa kulialia kila siku. Kumbuka wapiga kura wako ni waswahili wenzio.

Pili kabla hujawasifia hao mabeberu kwa demokrasia hebu fungua kurasa zao uweze kuzosoma ikiwa na sound mind ndipo unyooshee kidole viongozi wa Afrika.

Jaribu kuwa mkweli kidogo na tuwekee nchi unayoona imepiga hatua kubwa katika demokrasia tuanze kukupa data humu JF.

Mwisho, wavurugaji wa demokrasia ni hao mabeberu ili wapate mlango wa kupitia. Demokrasia ya kushinda mitandaoni kutukana watu ni tofauti kabisa na demokrasia ya kujenga hoja ili kuleta matokeo chanya.

Wewe ni Mbunge, jipange utoke kivingine.

Queen Esther
 
Kama democracy mlipewa na jk the end of the day mlimtukana Sana ila Sasa watanzania hawataki porojo wanataka maendeleo.
act wazalendo kwenyewe demokrasia hakuna hicho cheo Cha mkuu we chama kakiweka kwenye katiba ila kujiweka ufalme .Mkuu wa chama Ni yeye hachaguliwi Wala kuondolewa kwenye katiba.Ni kiongozi wa maisha wanachaguliwa viongozi wengine ila Sio yeye.Kaweka kipengele Cha ufalme ndani ya katiba kuwa yeye mfalme wa kudumu Kwenye chama .
 
act wazalendo kwenyewe demokrasia hakuna hicho cheo Cha mkuu we chama kakiweka kwenye katiba ila kujiweka ufalme .Mkuu wa chama Ni yeye hachaguliwi Wala kuondolewa kwenye katiba.Ni kiongozi wa maisha wanachaguliwa viongozi wengine ila Sio yeye.Kaweka kipengele Cha ufalme ndani ya katiba kuwa yeye mfalme wa kudumu Kwenye chama .
Huyu si ndiye aliyekimbiwa na mama Anna Mgwira,Kitila Mkumbo na Mwigamba? :oops:
 
Zito kwanza unapenda sana kuandika kingereza kuonesha unalenga mataifa fulani hasa mabeneru kufikisha ujumbe wako wa kulialia kila siku. Kumbuka wapiga kura wako ni waswahili wenzio.

Pili kabla hujawasifia hao mabeberu kwa demokrasia hebu fungua kurasa zao uweze kuzosoma ikiwa na sound mind ndipo unyooshee kidole viongozi wa Afrika.

Jaribu kuwa mkweli kidogo na tuwekee nchi unayoona imepiga hatua kubwa katika demokrasia tuanze kukupa data humu JF.

Mwisho, wavurugaji wa demokrasia ni hao mabeberu ili wapate mlango wa kupitia. Demokrasia ya kushinda mitandaoni kutukana watu ni tofauti kabisa na demokrasia ya kujenga hoja ili kuleta matokeo chanya.

Wewe ni Mbunge, jipange utoke kivingine.

Queen Esther

Queen Esther,
This statement by ACT-WAZALENDO is addressing issues that affect the SADC as a region. For the it to reach all the people of SADC block, a statement issued in English will have more readership not only in the region but worldwide. So this communique is not aimed for Tanzanians only.
 
Huu mkakati wenu unanikumbusha mwaka 1989 kipindi cha Tiananmen Square Massacre ambapo wanafunzi wa Uchina walianza kuchochea maandamano baada ya kuona Raisi wa Umoja wa Kisovieti Mikhail Gorbachev ametembelea Uchina.

Wao walijidanganya kwamba Gorbachev angeishinikiza Serikali ya Peking kusikiliza madai yao: bahati mbaya Gorby hakusema chochote kile kwasababu alikuwa ameend kule kwa shughuli zenye maslahi ya Urusi na siyo Uchina. And we all know what happened that day.

Wajue vizuri adui zako Zitto,
Wajue vizuri watawala wa Afrika,
Jua kwamba wanalindana sanaa,
Jua kwamba hawaoneani aibu......

I speak this out of love and concern for your movement without any reservation in my heart. And hey no hard feelings......

But this was a wrong move my friend.....
But the truth is the Tiananmen boys spoke out their inner thoughts against injustice. That's why the world and you are narrating their story.
It is very true that dictator's never value the lives of the citizens. They were crushed brutally and many among them died. But, do we have to keep mum as if the dumbs never speak out!!!?
What Hon. Zitto and the ACT have reiterated is a fact for Tanzania and other SADC member states. They want peace and tranguility to reign in their countries, at the same time they weaken the foundations of the Democratic Institutions and never respect human rights
Bravo Zitto, bravo ACT-Wazalendo for speaking out your line of thinking against this Club of Petty Dictator's.
 
Kama democracy mlipewa na jk the end of the day mlimtukana Sana ila Sasa watanzania hawataki porojo wanataka maendeleo.
Hii statement ya kijinga huwa naisoma humu mara kwa mara. Ni statement inayosikitisha sana.

Nani hasa alikuwa akimtukana JK!!? Nijuavyo mimi watu daima wamekosoa. Wamemkosoa JK, wanamkosoa Rais Magufuli hata sasa. Baadhi walimwita JK "dhaifu" kwa jinsi alivyokuwa akisimamia mikataba ya rasilimali ya nchi. Magufuli amethibitisha udhaifu huo wa JK mara baada ya kuingia Ikulu.

Hata Sasa wapo waliomwita Rais Magufuli kuwa ni "Mwoga" kwa vile anaonyesha hofu ya kushangaza pale anapokosolewa na watu wengine. Kwa uwoga wa kutotaka kujulikana kuwa anaweza kufanya makosa, Rais Magufuli anajitahidi kuufunika woga wake kwa kutumia ukali na ukandamizaji dhidi ya wakosoaji.

Huo ndio ukweli na wala si tusi.

Ni uthibitisho kwamba Rais Magufuli ni "mtu" wala si vinginevyo, na "mtu" huyu hufanya makosa.
 
That is good Zito . What you have written here is true . Let us wait to see what will be done by these leaders.
 
But the truth is the Tiananmen boys spoke out their inner thoughts against injustice. That's why the world and you are narrating their story.
It is very true that dictator's never value the lives of the citizens. They were crushed brutally and many among them died. But, do we have to keep mum as if the dumbs never speak out!!!?
What Hon. Zitto and the ACT have reiterated is a fact for Tanzania and other SADC member states. They want peace and tranguility to reign in their countries, at the same time they weaken the foundations of the Democratic Institutions and never respect human rights
Bravo Zitto, bravo ACT-Wazalendo for speaking out your line of thinking against this Club of Petty Dictator's.
You are idealistic, I respect that.
You hate injustice, so do I. But the reality is very cruel: this was a wrong move.

Our President has a big ego, and it is visible like the peak of Mount Rushmore. Testing his patience in a day like this while expecting to see restraint on his side of the chess board is like courting death.

Unless you tell me that this strategy was only a PR Campaign designed to send message to SADC leaders whom you have dubbed a Club of Dictators. In which i would also ask: Why send some innocent lives to be the sacrificial lambs yet knowing that a simple demonstration won't change a thing ???

The brevity of Hon Zitto and his vanguard would have been dully appreciated and celebrated if it was not sporadic and isolated but a protracted one:

Or simply put, displayed every now and then even when there are not visible before the eyes of an international community. I have a lot of respect for Hon Zitto but this False Bravado does not suit him.

A general knows how to wage war against his enemies. But a good general knows when and where to fight or retreat.

We echo the narratives of Tienanmen Square Massacre, and tend to forget the bitter truth: Their deaths did not change the policies of Communist China.

There are ways to fight tyrants, and preying on their ego isn't one of them........
 
Kigoma changamoto ni nyingi mno mbona hutulii we zitto kila siku na media . Mkutano wa sadc unakuja na maandishi hayo lengo lako nini hasa chama chako hakitakuwa kwa matamko na kushinda kwenye mitandao ya kijamii angalia siasa unazofanya Sasa na na yanayofanyika hii siyo awam ya bwana yule
 
Back
Top Bottom