Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Hivi serikali inapoamaua kwa kusudi kuwazuia wananchi wa kisiwa cha mafia wapatao 40,000 wasivue samaki maana yake ni nini? surely this is a clear road to STATE SPONSORED GENOCIDE KULE KISIWANI MAFIA...if not GROSS human rights violations na mbaya zaidi wanajeshi wamefika kule wanawapiga watu na kuwaumiza vibaya kisa wamepatikana na nyavu za kuvulia samaki
Serikali inapowaambia wanachi wavue samaki kwa ndoano maanake ni nini hasa?
Serikali inapowaambia wananchi wasitumie nyavu ndogo kuvua samaki inategemea wananchi wa MAFIA wasile dagaa au vipi?
Na sharti la kuwaambia wananchi wakitaka kuvua waende deep sea nalo haliingiii akilini maana tunajua hakuna raia mwenye chombo cha kwenda kuvua deep sea kule mafia
Mbaya zaidi kuna taarifa kuwa kuna watu washaanza kudhoofika kwa njaa baada ya kupigwa marufuku kuvua samaki
Nakumbuaka ma environmentalists walivyopiga makelele kuhusu mradi wa kamba na naona this time wamerudi tena back door bila kuwafikiria raia wa mafia kwa kulobby raia wapigwe marufuku kuvua samaki
No wonder jamaa wa human rights watch wameamua kupiga kambi pale kisiwani kukusanya ripoti yao
Serikali inapowaambia wanachi wavue samaki kwa ndoano maanake ni nini hasa?
Serikali inapowaambia wananchi wasitumie nyavu ndogo kuvua samaki inategemea wananchi wa MAFIA wasile dagaa au vipi?
Na sharti la kuwaambia wananchi wakitaka kuvua waende deep sea nalo haliingiii akilini maana tunajua hakuna raia mwenye chombo cha kwenda kuvua deep sea kule mafia
Mbaya zaidi kuna taarifa kuwa kuna watu washaanza kudhoofika kwa njaa baada ya kupigwa marufuku kuvua samaki
Nakumbuaka ma environmentalists walivyopiga makelele kuhusu mradi wa kamba na naona this time wamerudi tena back door bila kuwafikiria raia wa mafia kwa kulobby raia wapigwe marufuku kuvua samaki
No wonder jamaa wa human rights watch wameamua kupiga kambi pale kisiwani kukusanya ripoti yao