Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,189
- 46,227
Nipo sehemu hapa kuna mdajada unaendelea StarTV, wamemualika mpinzani anatema cheche ambazo kwa mtu mwenye akili sawa lazima aone jamaa ana point..sidhani kama kuna Media inaweza kutoa platform kwa hili kutendeka..hongereni StarTV.
Anahoji inakuwaje watendaji wa CCM wanatembea nchi nzima kufanya mikutano huku vyama vingine vinapigwa pini?
Mijadala kama hii ya kuhoji demokrasia yetu ni ya kweli au ni danganya toto haipo kwenye media nyingine..huko ni kufwata tu bendera.
Anahoji inakuwaje watendaji wa CCM wanatembea nchi nzima kufanya mikutano huku vyama vingine vinapigwa pini?
Mijadala kama hii ya kuhoji demokrasia yetu ni ya kweli au ni danganya toto haipo kwenye media nyingine..huko ni kufwata tu bendera.