Startv 'Tuongee Asubuhi' kipindi kimekosa mvuto

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,761
71,145
Naangalia hapa kipindi hicho na Leo kinazungumzia Nishati na madini.
Ni wazi kuwa kipindi hiki hapo awali kilikuwa na mvuto katika mijadala yake kwa kualika watu wenye weledi mkubwa katika mada zake. Lakini sasa hivi kimekuwa kama kipindi cha kutetea serikali ya ccm kwa kualika makada wa ccm walewale kila siku na wasio na weledi halisi katika mada husika.
Ni bora kukipuuza kwani sasa kimekuwa cha kupotosha na kipo kisiasa zaidi kutetea ccm na sio kuchambua mambo kwa faida ya nchi. Inawezekana mmiliki wa kituo ambaye ni Diallo Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Mwanza ana mkono wake hapo.
 
Naangalia hapa kipindi hicho na Leo kinazungumzia Nishati na madini.
Ni wazi kuwa kipindi hiki hapo awali kilikuwa na mvuto katika mijadala yake kwa kualika watu wenye weledi mkubwa katika mada zake. Lakini sasa hivi kimekuwa kama kipindi cha kutetea serikali ya ccm kwa kualika makada wa ccm walewale kila siku na wasio na weledi halisi katika mada husika.
Ni bora kukipuuza kwani sasa kimekuwa cha kupotosha na kipo kisiasa zaidi kutetea ccm na sio kuchambua mambo kwa faida ya nchi. Inawezekana mmiliki wa kituo ambaye ni Diallo Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Mwanza ana mkono wake hapo.

Kwani alilipa TRA deni la bilioni 4? Atarudishaje hiyo hisani?
 
Na nilikuwa sijui kma bado kuna watu wanaangaliaga hii channel kada
 
Teh teh ee.. mkuu kuna kiwanda kinajengwa kitakua kinaongoza, ni kiwanda cha hofu, kilichozinduliwa na musiba, yaani tz kwa maviwanda tunapiga hatua


Woyoooooooo mpaka 2020 kutakuwa na viwanda si chini ya elf 5 ukijumlisha na vile alivyovitangaza waziri
 
Back
Top Bottom