KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,713
- 12,063
Kwanza nawapongeza kwa ubunifu wenu. Kwasasa taarifa zenu za habari zinanivutia, na huwa sikosi kuangalia.
Tatizo lenu lipo kwenye lile tubwasha mnalolishika wakati wa taarifa ya habari huhusani saa mbili usiku.
Ni kubwa sana na linashusha hadhi ya ubunifu wenu.
Tafadhali naomba mtafute medium size ya lile dubwasha.
Tatizo lenu lipo kwenye lile tubwasha mnalolishika wakati wa taarifa ya habari huhusani saa mbili usiku.
Ni kubwa sana na linashusha hadhi ya ubunifu wenu.
Tafadhali naomba mtafute medium size ya lile dubwasha.