Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

StarTimes Tanzania Kwanini mmeondoa local channels zote kwenye king'amuzi changu cha antena?. Kama mmeziondoa sio bure tena niachane na nyie kabisa. Decoder yangu ni Na. 02155934461
 
Ujumbe ni NO ACCESS NOT SUBSCRIBED ila hata hizo local channels zimefutwa yaani sizioni katika list
Kama channel haziko kwenye orodha ya channel inamaana zimetoka kutokana na antena/dish lako kupata shida. Jaribu kufanya automatic search; kama haujazipata rekebisha dishi/antena yako kabla ya kufanya automatic search.

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Hata kwangu hazipo kabisa.
Kumbe hili litakuwa tatizo la wengi,startimes mturejeshee local channels (FTA) kabla hamjakimbiza wateja maana hata bei za vifurushi vyenu ni za kibepari 15000 kwa 30000!!!! Angalau mpoze bei iwe kama zamani mtu ulikuwa na uwezo wa kununua kifurushi cha 6000 kwa mwezi
 
Kumbe hili litakuwa tatizo la wengi,startimes mturejeshee local channels (FTA) kabla hamjakimbiza wateja maana hata bei za vifurushi vyenu ni za kibepari 15000 kwa 30000!!!! Angalau mpoze bei iwe kama zamani mtu ulikuwa na uwezo wa kununua kifurushi cha 6000 kwa mwezi
Hapana hakuna tatizo hili ni setup kwa mteja husika.

Karibu

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Habari yako tamsana Kama channel haziko kwenye orodha ya channel inamaana zimetoka kutokana na antena/dish lako kupata shida. Jaribu kufanya automatic search; kama haujazipata rekebisha dishi/antena yako kabla ya kufanya automatic search.

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Hili zoezi nimelifanya ila hazijarudi bado. Mbona zingine zipo vizuri? Channel ninazozikosa ni ITV, EATV, STAT TV na CLOUDS TV.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Sipati channel ya capital tv.... Ni kwamba haipo kwenye kingamuzi chenu au shida ni nini?
 
Nilikuwa natumia antenna sasa nimehamia kwenye dish nilichogundua mvua inaponyesha au wingu zito huduma haipatikani sasa sielewi ni kawaida au mfungaji kafanya kazi chini ya kiwango

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa natumia antenna sasa nimehamia kwenye dish nilichogundua mvua inaponyesha au wingu zito huduma haipatikani sasa sielewi ni kawaida au mfungaji kafanya kazi chini ya kiwango

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Habari yako, mfumo wa DTT (antena) hauna shida kabisa kwenye hali ya hewa (hauhathiriwi kabisa) ukilinhanishwa na DTH (dish) ambao nao ni kwa kiasi kidogo.

Tunashauri ufunge vizuri dishi/antena yako

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom