Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Nimelipia kifurushi cha Uhuru lakini baadhi ya Chanel hazifunguji; kikiisha hiki kifurushi ndio mwisho wa kutumia kifurushi chenu!
 
Mie king'amuzi changu kinaonesha tbc1 tu,mwanzo haikuwa hivyo nilikuwa naangalia local channels bila shida naomba mnirejeshee local channels namba ya king'amuzi ni 02035892652
 
Mjitajidi kukimbizana na technologia,, nimenunua king'amuzi cha startimes antenna hakina HDMI ni only AV, hakuna USB PORT, this is still analog
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom