Hawa jamaa wanazingua ni wiki ya pili ITV eatv hazipo kwenye list nishawapigia sim nimechokaLeo king'amuzi chenu kina shida gani? Baadhi ya channel hazipo hata hiyo st guide sioni chochote
Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Nipo Moshi Chekereni ya Kahe, King'amuzi kimepoteza channels ghafla, zapatikana 15 tu local zote hazionyeshi. Namba yangu ni 0623428043, smart card ni 02035580224Me bwana king'amuz chang channel zinatowek tatz nn?
Na mm nashangaa wananiboa kurudia tamthilia moja kwa miaka hata miwili au mitatu hiyo hiyoKama hamjibu mlianzisha uzi wa nini?
KweliMkuu kweli unapoteza muda na startimes? Mastation wamejaza ya kichinatu. Alafu bei za vifurushi vyao ghali sana. Bora Dstv na Azam tv.
Customers Care Ukiwakipigia Wana Dharau BhalaaNiko Ubungo external, nina king'amuzi cha antena, napata chaneli zingine ila Upendo Tv inasema 'no service' tatizo nini? Niliwapigia customer service jma2 iliyopita wakasema watafanya uchunguzi kisha watanipigia. Hadi leo kimya.
Niliwauliza Customers Care Wanasema Hizo Channels Zina Matatizo Ingawa Tunajua Ni Uongo, Watu Wengi Sana Wataacha Kulipa Ili Kampuni Ile Jeuri YakeHili ndiyo anguko la Startimes? Chanel za fox,tv1,cloudtv,national geographic wild,n.k zote mmefuta. Maana ya nini? Kama si ndiyo hatima yenu?
Hawa Hawajitambui Customers Care Wana DharauStartimes msitudharau, sisi ndio wateja mkifanya mambo kwa mazoea mtabaki wenyewe nawambia