Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,353
- 31,475
Ushauri muruawapigie huduma kwa wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri muruawapigie huduma kwa wateja
Sawa boss ila nitakirusisha wanipe pesa zanguPoa bana washakuingiza chaka,lipia tu mzee baba ugange yajayo chief,life goes on,,
wapigie huduma kwa wateja
mi natumia star times hawana usumbufu kwenye kupokea simu wacheki kwa namba hizi 0764700800 au 0677700800.Nimepiga hawapokei
mi natumia star times hawana usumbufu kwenye kupokea simu wacheki kwa namba hizi 0764700800 au 0677700800.
Ofa za namna hiyo haziwezi kuisha wakati king'amuzi hakijanunuliwa. Zinaanza wakati unaposajili king'amuzi kama incentive kwa wateja. Ofa hiyo ni tofauti na zile ofa za wateja wote kwa ujumla. Kama walikuahidi kuwa ukinunua unapata ofa halafu hayo ndio yamekukuta basi huo n uhuni. Nakushauri uwasiliane na huduma kwa wateja upate ufafanuzi.
Hivii vifurushiii vimegawanyikaaaje kwa upande wa antenaaHabari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Me bwana king'amuz chang channel zinatowek tatz nn?Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Sijawah kufikisha signal strength 40 naishiaga 39 hapo nimejitahidi signal quality ndo huwa mpk 90 nafikishaweka hapo signal zinapooneshwa then chezesha antena ukizungusha kila upande mpaka ziongezeke kufikia 50.then utaseach chanel upya.mm kwangu signal ipo chini ipo 45 lakin hizo chanel ulizotaja nazipata