Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Leo mumefikia bei gani ya vipindi?
Mimi napenda kuuliza chanel za startime zina update ukiongeza urefu wa antenal ama ukilipia kifurushi kikubwa? maana mim nalipia kifushi cha sh18000/= lakini naona chanel zile zile mwanzo nlipiga simu wakaniambia niongeze urefu wa nguzo wa antenal nmeongeza lakini akuna kitu naomba kufahamiswaHabari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
mkuu hapo mchawi ni signal strength kama ziko under 50 hata unyooshe antena mpaka mawinguni huwez kupata update ya channelMimi napenda kuuliza chanel za startime zina update ukiongeza urefu wa antenal ama ukilipia kifurushi kikubwa? maana mim nalipia kifushi cha sh18000/= lakini naona chanel zile zile mwanzo nlipiga simu wakaniambia niongeze urefu wa nguzo wa antenal nmeongeza lakini akuna kitu naomba kufahamiswa
Mkuu natumia kisimbusi cha Antena Sasa hapa mtu unatakiwa kufanyaje ilisignal strenth zifike 50 mana mimi kwangu zinakuja signal strength 33 na signal quality 55 lkn napata channel 50 tu kila nikijitahid kusach ili nipate channel zaid ya 50 inashindikana ..channel za ndani ninazopata ni channel 10, tbc2, sibuka maisha,mambo tv, tv E na upendo tv kwaiyo nakosa channel kama wasafi,clouds,channel5,itv,startv,Tanzania safari,na star swahilimkuu hapo mchawi ni signal strength kama ziko under 50 hata unyooshe antena mpaka mawinguni huwez kupata update ya channel
weka hapo signal zinapooneshwa then chezesha antena ukizungusha kila upande mpaka ziongezeke kufikia 50.then utaseach chanel upya.mm kwangu signal ipo chini ipo 45 lakin hizo chanel ulizotaja nazipataMkuu natumia kisimbusi cha Antena Sasa hapa mtu unatakiwa kufanyaje ilisignal strenth zifike 50 mana mimi kwangu zinakuja signal strength 33 na signal quality 55 lkn napata channel 50 tu kila nikijitahid kusach ili nipate channel zaid ya 50 inashindikana ..channel za ndani ninazopata ni channel 10, tbc2, sibuka maisha,mambo tv, tv E na upendo tv kwaiyo nakosa channel kama wasafi,clouds,channel5,itv,startv,Tanzania safari,na star swahili