Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Jaman mnatuchosha kurudia yamthilia zile zile,tamthilia ikiisha mnairudia tena mnaboa sana badirikien 3 side of ana toka na mimba mpk sasa mtoto aba miaka 2 mnairudia mnabadir chanel tuu
 
Natokea mkoa wa kugoma mjini nimesha toa malalamiko kupitia namba zenu zaidi mnàdai heti ni search alafu itarudi channel ya cloud tv itaonyesha kwangu nikelo sana na huku nimelipia elfu 8 lakini cloud tv haionyeshi kabisa pia upande mngine kila siku ikifika saa 8 usiku au saa 7 usiku
king'amzi kinazima channel zote hazionyeshi tatizo kubwa wanachelewa kuwasha yani kama vile zamàni tulivyokuwa tunatumia antenna ="StarTimes Tanzania, post: 11833181, member: 149569"]
Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
[/QUOTE]
 
Nashangaa kuona Kuna kingamuzi Cha 34000 Mimi chakwangu kilisumbua kilikua kinaandika no signal nikapeleka ofisi zenu wakasema kinatengenezeka nilipe hela ya ufundi nikkakubali baada ya wiki nafatilia naambiwa lbd ninunue kingine kwa 79000 nikapiga cm cm kwenu kulalamikia nikijua ntapata msaada nikapewa namba ya meneja kbla cjawasilana nae nakampigia Yule fundi anirudishie kile chakwangu nikajipange wakati huo akaniambia nimpe 35000 anibadilishie anipe vile vya plastiki nikampa hata hvy hakunipa remote akaniambia remote zinauzwa 10000 nikampa 8000 bado ile pini ya antena akaniuzia nilikwazika Sana ofisi zeni zina wafanyakazi hawana chembe ya uaminifu bado Tena kile chakwangu alibaki nacho kagoma kunipa
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Mimi napenda kuuliza chanel za startime zina update ukiongeza urefu wa antenal ama ukilipia kifurushi kikubwa? maana mim nalipia kifushi cha sh18000/= lakini naona chanel zile zile mwanzo nlipiga simu wakaniambia niongeze urefu wa nguzo wa antenal nmeongeza lakini akuna kitu naomba kufahamiswa
 
Mimi napenda kuuliza chanel za startime zina update ukiongeza urefu wa antenal ama ukilipia kifurushi kikubwa? maana mim nalipia kifushi cha sh18000/= lakini naona chanel zile zile mwanzo nlipiga simu wakaniambia niongeze urefu wa nguzo wa antenal nmeongeza lakini akuna kitu naomba kufahamiswa
mkuu hapo mchawi ni signal strength kama ziko under 50 hata unyooshe antena mpaka mawinguni huwez kupata update ya channel
 
mkuu hapo mchawi ni signal strength kama ziko under 50 hata unyooshe antena mpaka mawinguni huwez kupata update ya channel
Mkuu natumia kisimbusi cha Antena Sasa hapa mtu unatakiwa kufanyaje ilisignal strenth zifike 50 mana mimi kwangu zinakuja signal strength 33 na signal quality 55 lkn napata channel 50 tu kila nikijitahid kusach ili nipate channel zaid ya 50 inashindikana ..channel za ndani ninazopata ni channel 10, tbc2, sibuka maisha,mambo tv, tv E na upendo tv kwaiyo nakosa channel kama wasafi,clouds,channel5,itv,startv,Tanzania safari,na star swahili
 
Mkuu natumia kisimbusi cha Antena Sasa hapa mtu unatakiwa kufanyaje ilisignal strenth zifike 50 mana mimi kwangu zinakuja signal strength 33 na signal quality 55 lkn napata channel 50 tu kila nikijitahid kusach ili nipate channel zaid ya 50 inashindikana ..channel za ndani ninazopata ni channel 10, tbc2, sibuka maisha,mambo tv, tv E na upendo tv kwaiyo nakosa channel kama wasafi,clouds,channel5,itv,startv,Tanzania safari,na star swahili
weka hapo signal zinapooneshwa then chezesha antena ukizungusha kila upande mpaka ziongezeke kufikia 50.then utaseach chanel upya.mm kwangu signal ipo chini ipo 45 lakin hizo chanel ulizotaja nazipata
 
Nimenunua dish la startimes pale Rock City Mall Mwanza na wakadai wamenipa ofa ya mwezi mmoja kifurushi cha elfu 36000. Lakini leo nimefungua nimekuta channel moja tu ya Safari ndo iko hewani kwani ofa yao imeisha Jana.
Wale wenye weredi tafadhari nijulisheni ni sahihi kubakiwa na channel moja tu.
 
Back
Top Bottom