deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Kulikoni mdau?
Nyie anguko lenu linakuja ngoja waje hawa azam waanze na vingamuzi vya antenna
Nyie anguko lenu linakuja ngoja waje hawa azam waanze na vingamuzi vya antenna
Azam wamepewa leseni ya kuonyesha local channel bure na wanakuja na king'amuzi cha antenna na huko channel zitakua ni bureKulikoni mdau?
Sisi tuna mwaka sasa hatuzioniNimestaajabu kweli leo, tangu kumekucha sipati ITV wala EATV.
EBU WATAALAMU WA MITNDAO NIELEWESHENI. NATUMIA STAR TIMES.
Sisi tuna mwaka sasa hatuzioni
Ndg habariUnatumia kisimbuzi gani?
Ndg habari
Mimi nina kisimbuzi kile cha zamani lakini kwa bahati mbaya hakikusajiliwa hicho na kadi pia hailusajiliwa kina muda kama miaka 4 kipo ndani hakitumiki ivi majuzi nikatembelea ofisi zenu hapa Moshi ili kukisajili wakaniambia hawasajili visimbizi vipya kama nataka nitoe 62000 elfu ili wakisajili ikanibidi kuwasiliana na watoa huduma wenu wakanipa maelekezo jinsi ya kukisajili kwa simu lakini sikufanikiwa nikamsalimia simu nakuwafahamisha wakaniambia nitapigiwa simu mpaka sasa ni wiki ya 2 sijapigiwa simu
Je naweza kusaidikaje katika hili
Naomba msaada king'amuzi changu cha StarTime A/C.01819395449 Chanel ya ST SWAHILI inanigomea inataka pin code naomba msaadaView attachment 1123905
Hawafai kabisa wameiacha channel yao ya matangazo na TBC 1 pekee. Hao TBC sasa wanachokitangaza ni hatareee kazi kusifia vitu visivyojulikanaHawa hawafai Serikali inasema lock channel bure lakini ukiishiwa kifurushi wanakata zote. Ukiwapigia simu wanaomba namba ya kisimbusi wanakwambia subiri dakika 5. Ndio nitolee hovyo kabisa hasa.
Mimi Nilinunua Startimes Decoder ya Dish kwa sh. 69,000 bila dish lenyewe, nikaambiwa nitakuwa na offer ya mwezi mzima wa kuangalia channels. Ilipofika siku 14 wakakata, nikalalamika wakaniambia watanipa siku 14 lakini baada ya siku 4 Kikakata tena.Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Wanadai ulipie 46 elfu ili uunganishwe milele,sijui kama serikali ya wanaonyongwa inafahamu utaratibu huu.Hawa hawafai Serikali inasema lock channel bure lakini ukiishiwa kifurushi wanakata zote. Ukiwapigia simu wanaomba namba ya kisimbusi wanakwambia subiri dakika 5. Ndio nitolee hovyo kabisa hasa.
Pin Jaza 000000 au 123456Naomba msaada king'amuzi changu cha StarTime A/C.01819395449 Chanel ya ST SWAHILI inanigomea inataka pin code naomba msaadaView attachment 1123905
...Pin Jaza 000000 au 123456
habari yako, tafadhari tupatie namba yako ya mawasiliano.Ndg habari
Mimi nina kisimbuzi kile cha zamani lakini kwa bahati mbaya hakikusajiliwa hicho na kadi pia hailusajiliwa kina muda kama miaka 4 kipo ndani hakitumiki ivi majuzi nikatembelea ofisi zenu hapa Moshi ili kukisajili wakaniambia hawasajili visimbizi vipya kama nataka nitoe 62000 elfu ili wakisajili ikanibidi kuwasiliana na watoa huduma wenu wakanipa maelekezo jinsi ya kukisajili kwa simu lakini sikufanikiwa nikamsalimia simu nakuwafahamisha wakaniambia nitapigiwa simu mpaka sasa ni wiki ya 2 sijapigiwa simu
Je naweza kusaidikaje katika hili
0717768979habari yako, tafadhari tupatie namba yako ya mawasiliano.