Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Yakobo 1
13 Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu
Faiza acha kukalili!
Hili ndilo tatizo la kuokoteza vifungu vya Biblia Takatifu ili upotoshe maana.
Tatizo la Kiswahili ni kuwa kina msamiati finyu. Ipo tofauti kati ya 'trials' na 'temptations' lkn upande wa Kiswahili lipo neno mmoja 'majaribu'. The trials will test our faith. Lakini yule aliyekuta mke wa mtoto wake kulea yuko nusu uchi akamtamani sasa hiyo siyo trial ni temptation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faiza acha kukalili!
Hili ndilo tatizo la kuokoteza vifungu vya Biblia Takatifu ili upotoshe maana.
Tatizo la Kiswahili ni kuwa kina msamiati finyu. Ipo tofauti kati ya 'trials' na 'temptations' lkn upande wa Kiswahili lipo neno mmoja 'majaribu'. The trials will test our faith. Lakini yule aliyekuta mke wa mtoto wake wa kulea yuko nusu uchi akamtamani sasa hiyo siyo trial ni temptation.

Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaongea utatoka mishipa yote kanisa Ni moja Takatifu katoliki la mitume likisema Leo Ni Kwaresma, au pasaka wote itakuea hivyo. Na ndivyo ilivyo. Hakuna calendar tofauti wamejaribu hao kina sabbato wameshindwa wamebakia wenyewe the whole world wapo na kanisa moja ambalo Ni Takatifu katoliki la Mitume
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya kanisa moja katoliki la mitume na kaisa la roman katoliki. Katoliki maana yake ni 'lililoenea duniani pote'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakatoliki hawana tofauti na wafuasi wa Mo wote wamelishwa dini!
Huyu mmoja anakwambia Mungu ni Muislam
Huyu Mwingine anakwambia Yesu ndo kaanzisha kanisa katoliki
Halafu wanasema wanaogopa kulishwa matango pori
Na wakati wamelishwa MADODOKI kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la kudandia vitu usivyoelewa! Shetani aliposhindwa kumshawishi Yesu, aliambiwa na Yesu kuwa asimjaribu Bwana Mungu wake. Kwani aliyekuwa akijaribiwa kule nyikani alikuwa nani?
Sasa ndugu yangu wewe unabisha nini na unatetea nini?! Baada ya Ibilis kumpeleka Yesu juu ya mnara, akamwambia "jitupe chini kwa maana imeandikwa atakuagizia Malaika wake ambao watakuweka mikononi mwao ili usvinjuke" na hapo ndipo Yesu akwambia shetani "..imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako!" Yesu anapomwambia shetani kwamba "imeandikwa usimjaribu Mungu wako" maana yake ni kwamba Mungu hajaribiwi, na ndicho alichosema FaizaFox!!

Sasa unakataa, ikiwa na maana Mungu anajaribiwa, au?

Kukujibu hapo kwenye bold, aliyekuwa anajaribiwa kule nyikani ni Yesu. Shetani kumwambia Yesu ajidondoshe kwa maana imeandikwa angeletewa malaika katika mazingira kama hayo, maana yake kumtii shetani kwa takwa lake hilo ingekuwa ni kumjaribu Mungu kuona kama angemletea hao malaika! Na ndio maana, katika majaribu yale, Shetani akafikia kumwahidi Yesu miliki za Ulimwengu endapo Yesu angemsujudia shetani na ndipo Yesu akasema "...nenda zako, shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, Umwabudu yeye peke yake." Hapo Yesu anamzungumzia Mungu yule yule ambae hapo kabla alimwambia shetani kwamba Mungu hajaribiwi!
 
Sijakuelewa...!! Hebu fafanua..


Halafu nikuambie kitu kimoja....

Biblia hii unayoiona iwe ya 66 books, 83 books(orthodox) au ya 72 books(catholics) ni Mali ya Kanisa Katoliki..

Kanisa Katoliki ndio iliyotupa/ipa dunia Biblia....Biblia ni Mali ya Kanisa Katoliki

Full Stop and Long Break
Duuh pole sana, ubarikiwe ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha.....Mungu ni Wa Wote....Ila Kanisa ni la Kristo....Kanisa Katoliki ni la Yesu Kristo peke yake....

Wangine wote ni matokeo ya baadhi kujitenga na Kanisa Katoliki....

Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Sasa hapo Katoliki limeingiaje? Aisee Muombe sana Roho Mtakatifu akusaidie jamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko kwenye bold

Tatizo unaandika huku una hasira na chuki...Huwezi lichukia Kanisa la Kristo kamwe..utakufa mapemaaa.....

Utaanzaje kulichukia....hujui Kanisa Katoliki ni Kama Oxygen ..

Ukitumia Biblia ujue umetumia Kitabu chao
Ukija Mahospitali..utakuta unawahitaji wao kuliko wao wanavyokuhitaji wewe..

Kwenye shule na vyuo sitaki kuongelea sana maana unaelewa mziki wake....Kwasasa Elimu bora ya Duniani Kote Inapatika Catholic Church na shule zake..

Si umeona matusi waliofanya St. Francis Mbeya.....

Kati ya Shule 100 bora...Kanisa Katoliki limetoa Shule 95...
Jinsi unavyojibu bado unamkosea Mungu, mjibu mwenzako kwa ustaarabu, hata anapokujibu kwa hasira hutakiwi kulipiza. Roho wa Mungu akupe wepesi wa kuwa mpole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom