Bonyeza zero mara 6 then okMimi king'amuzi changu watoto walikuwa wanachezea rimoti wakaweka password, sasa kuna channel zimekata kila nikitaka kuzisearch inasema niingize password namimi siijui. Hivyo naomba jinsi ya kuondoa hii password ili niweze kusearch hizo chanels
...Bonyeza zero mara 6 then ok
Huku mbeya baadhi ya channels zenu hazina SignalHivi star times mmekuwaje yaani nanunua kifurushi kidogo Cha 19000 lakini channel chache tu zinaonekana zingine hazionekani hili suala linaniudhoa Sana natamani hata kuachana na huduma zenu namba ya kadi ya king'amuzi changu ni 01837621581
Tuambie na gharama za mwezi baada ya muda wa offer!habari yako
tunaving'amuzi vya aina mbili, vinavyotumia antenna na vinavyotumia Dish
vinavyotumia Antena viko vya aina mbili
kuna vile ukinunua unafurahia chanel zaidi ya 75 mwezi mmoja kinauzwa tshs 59000
na kuna vile ukinunua unapata chanel 17 kwa muda wa miezi 7.5 vinauzwa tsh 34000 (kingamuzi na malipo humo humo)
vingamuzi vinavyotumia Dish
hivi vinauzwa TSHS 139000 pamoja na ufundi unapata na dishi lake
kama unadishi kinauzwa Tshs 96000
Ahsante
King'amuzi changu kina tatizo la kuzima na kukata signal mara kwa mara hata nikifanya automatic search. Pia scratching hasa nyakati za mchana. Nimefuata maelekezo yote ya huduma kwa wateja bila mafanikioHabari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Tunawaza kama xmass tutakula na mishahara au mshahara wa nov 30 ndio tuutumie mpaka DEC 25!nyie mnawaza ving'amuzi na vifurushi sisi hatujalipwa badoStartimes wenyewe mbona hawatoi majibu?
Hilo tatizo au wazo limenifikilisha kwa muda mrefu sana kwa hakika inaboa kiaina flani hvKwanini kisimbusi cha startimes hakina channel za local redio