Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startime mnaboa sana hasa kwetu wateja wenu tunaotumia dish maana kila siku bei zenu zinapanda nashangaa kuona kifurushi cha smart kwa sasa 21000/= wakati loca chanel mumeshindwa kufungu hata tbc imewashinda kuruhusu ionekane bure ,kazi yenu kututumia sms eti lipia uweze kuona mechi na mibei yenu ya ajabu wakati huduma zenu mbovu.

Hakiamungu kuanzia leo nawahama mnazidiwa na Azam slyifungiwa kutoonesha local chanel ila bado tbc kwake ni bure namba ya card ni 01837512001 naombeni muifute au itengezeni upya mumuuzie mwingine maana mimi nimechoshwa na wizi wenu kwetu sisi watu wa hali ya chini.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
king'amuzi changu kimeharibika sehemu ya kuchomeka antena naweza kubadilisha kingine au lazima kununua kipya na gharama zake zinakuwaje
 
Ninyi startimes ni wa hovyo sanaaa haiwezekani mpandishe gharama za kifurushi cha nyota kwa siku chache tu ....

Washeeeeeeenzi sanaaa ninyi ,
Natamani sanaaaa hata niwatukane matusi yaleee makubwaaaaa sanaaa sema nawaogopa mods....
wanababaisha sana, ule mkwara wa waziri naona ilikua nguvu ya soda. mm kingamuzi nlichonunua kikiisha wanakata hata TBC nkiwaambia wanasema watalishughulikia nimeamua kuachana nacho kabisa sitaki hata kukisikia
 
Ninashaka hapa Kuna 10% hivi inakuwaje TCRA watoe maelekezo ya kuonesha local channel bure lakini hawa starTime wakaidi kwa maelekezo kwamba visimbuzi vya Dish havina mfumo huo! Hiki kiburi wamekipata wapi?

Hivi ni kweli Nchi hii imeshindikana? Inawezekana wanamfuko mpana wa kuweza kuiweka nchi yetu mfukoni.
 
zzzz, member: sßs nawezzzza kubadilishazz ßdssdsdsdsdsdsssßsdssddsßsdßßßsß au lazima kununua kipya na gharama zake zinakuwaje[/QUOTE]
 
Kwa nini mmepandisha bei ya kifurushi cha Mambo kutoka 13k kadi 14k.? Huduma zenu ni duni halafu mnapandisha bei
 
sijawahi kufika sehem nikakuta tv yenye king'amuzi cha startimes ikawa imetulia inaganda ganda mno mpk raha ya kuangalia tv inaisha.

Je hizo Ndio huduma mnazotoa kwa wateja wenu na mnawalipisha king'amuzi ili waangalie hiyo migando au mnaboa na mnkera tuna tv kwetu ila kwa King'amuzi chenu inabidi tu tulale kuliko kuangalia tv yaan mnaboa mnakeraaaa kwa huduma zenu zilivyo mbovu Ndio maana Azam wamewapiku jaman kule ni full Hd plus hakuna migando hata mvua kama ya nuhu inyeshe, hatutaki kuwalalamikia ila ijali thamanj ya hela ya mtanzania tupe kitu tunachostahili sio mnajua kupandisha bei huku huduma zenu ni mbovu.

Nawasilisha
 
HELLO, STAR TIMES. KING'AMUZI NIKI UPDATE CHANEL ZILIZOKUWEPO ZINAPOTEA NA ZINAKUJA MPYA, YANI MAMBO YA KUBAHATISHA. MNAJISAHAU.
 
Aisee Star Times jiangalie sana suala la kupandisha bei ya vifuurushi vyenu otherwise watu tutawakimbia na kwenda kwenye huduma nafuu na bora sehemu nyingine.

Vifurushi vinapanda bei kila siku wakati ubora wa huduma upo chini kupita maelezo. Eti sasa hivi kifurushi cha kawaida tu mnatutaka tulipie shilingi Elfu Ishirini na Moja (21,000) kwa mwezi.

Hiyo si hela ya kulipia pango la nyumba kabisa! Halafu kifurushi kikiisha hata TBC Taifa huipati. Siwezi kumshauri mtu anunue madishi na antenna zenu.

Upuuzi mtupu!
 
Startimes ndio king'amuzi chenye bei nafuu kuliko vyote!!!Salio likiisha unaangalia itv,startv,tbc1,tv1 chana Leli 10,eatv
Aisee Star Times jiangalie sana suala la kupandisha bei ya vifuurushi vyenu otherwise watu tutawakimbia na kwenda kwenye huduma nafuu na bora sehemu nyingine. Vifurushi vinapanda bei kila siku wakati ubora wa huduma upo chini kupita maelezo. Eti sasa hivi kifurushi cha kawaida tu mnatutaka tulipie shilingi Elfu Ishirini na Moja (21,000) kwa mwezi. Hiyo si hela ya kulipia pango la nyumba kabisa! Halafu kifurushi kikiisha hata TBC Taifa huipati. Siwezi kumshauri mtu anunue madishi na antenna zenu. Upuuzi mtupu!
 
Back
Top Bottom