Mkazamoyo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 1,256
- 2,061
Jamani hawa wachina na kampuni yao wanachofanya ni utapeli na uwizi wa mchana kweupe.
Ishu iko hivi mm nilikuwa natumia king'amuzi cha antena vile vya mwanzo lkn ni zaidi ya wiki sasa havioneshi(no signal) nilipowapigia wakasema hvyo vya antena kwa sasa havifanyi kazi kinachotakiwa tupeleke kwa wakala hivyo ving'amuzi then watatupa vya dish na dish lenyewe but tuchangie kiasi 'kidogo' cha sh77,000/-.
Je hii si ni sawa na kununua upya tena? yaan king'amuzi kimoja unanua mara mbili hasa ikizingatiwa kuwa bei halisi ya kile cha dish ni 86,000/-
Kweli nimekubali cha bure gharama nimetangaza rasmi kuhamia azamtv utapeli huu hauvumiliki.
Ishu iko hivi mm nilikuwa natumia king'amuzi cha antena vile vya mwanzo lkn ni zaidi ya wiki sasa havioneshi(no signal) nilipowapigia wakasema hvyo vya antena kwa sasa havifanyi kazi kinachotakiwa tupeleke kwa wakala hivyo ving'amuzi then watatupa vya dish na dish lenyewe but tuchangie kiasi 'kidogo' cha sh77,000/-.
Je hii si ni sawa na kununua upya tena? yaan king'amuzi kimoja unanua mara mbili hasa ikizingatiwa kuwa bei halisi ya kile cha dish ni 86,000/-
Kweli nimekubali cha bure gharama nimetangaza rasmi kuhamia azamtv utapeli huu hauvumiliki.