Startimes kupandisha vifurushi maradufu ifikapo tarehe 21 Septemba

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,627
Naona wachina wao wanapandisha tu kila mwaka!Jamaa hawa ni watu wa ajabu sijapata kuona!

Wakati wenzao wakifikiria kushusha vifurushi wao wanapandisha juu kila siku!

Nimeona ujumbe wao kama ifuatavyo:

Ndugu mteja kuanzia tar 21/09 bei ya Kufurushi cha Nyota itabadilika na kuwa TSH 10000tu kwa Mwezi.Wahi kulipia kabla ya tar 21/09 ufurahie bei ya zamani

Kifurushi kidogo kutoka 4000 mwaka juzi hadi mwaka huu 10000 jamaa wanapandisha kwa fujo sana
Kwa wale wa dish kitakua ni elfu 12 kwa mwezi

Na kifurushi kikubwa kwa antenna kitapanda hadi elfu 40

Na kwa dish kitapanda hadi elfu 50
 
Wote ndio hivyo hivyo tu. Nyie wekeni antena tu unapata chaneli km 10 free kwa smart tv. Mimi napata itv, tbc, star tv, channel 10 channel 5, capital, citizen, aljazira, emmanuel tv na ile ya wasabato
Channel 10 haionekani kwangu ,sasahivi hata mawingu haionekani pia ila hizo nyingine zipo
 
Naona wachina wao wanapandisha tu kila mwaka!Jamaa hawa ni watu wa ajabu sijapata kuona!

Wakati wenzao wakifikiria kushusha vifurushi wao wanapandisha juu kila siku!

Nimeona ujumbe wao kama ifuatavyo

Ndugu mteja kuanzia tar 21/09 bei ya Kufurushi cha Nyota itabadilika na kuwa TSH 10000tu kwa Mwezi.Wahi kulipia kabla ya tar 21/09 ufurahie bei ya zamani

Kifurushi kidogo kutoka 4000 mwaka juzi hadi mwaka huu 10000 jamaa wanapandisha kwa fujo sana
Kwa wale wa dish kitakua ni elfu 12 kwa mwezi

Na kifurushi kikubwa kwa antenna kitapanda hadi elfu 40

Na kwa dish kitapanda hadi elfu 50
Nchi gani? Mimi nafahamu kifurushi cha chini kabisa ni TZS 14,000. Hivyo vya TZS 10,000 ni Tanzania hii?
 
Sijui kwa sasa ila mi nilinunua ya Dish la Startimes mwaka 2010 kwa 70,000 pamoja na king'amuzi chake 40,000. Na sijakilipia tangu 2013. Maana home wanapendelea sana DSTV na zile Bongo na maisha magic
Ok mkuu ngoja nitafute pesa nifunge DSTV mana home nina azam so ujinga wa azam hawaonyeshi ligi kuu uingereza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom