Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,863
- 4,231
Habari wanajukwaa
Kwanza nikiri kwamba sina maana nataka kuwaharibia biashara yetu ila kwa haya mnayoyafanya nidhahiri mnataka kujiaribia nyinyi wenyewe hasa kwa kuwatapeli wananchi maskini ambao tupo wengi tunatumia hivyo visimbusi vyenu
Startimes kumbukeni nyinyi ndiyo mlisababisha tukahama kutoka ulimwengu wa analogy mpaka Digital sasa iweje hii leo mnageka kuwa matapeli
Anyway Acha nitoe evidence ambayo mimi mwenyewe imenikuta, mwezi uliopita nilinunua kisimbusi Chenu mnachokipigia promo kuwa ni 49000=/Tsh ingawa siyo bei hiyo kama mnavyoinadi, haikupita mwezi kikawa hakionyeshi picha nilipokirudisha naambiwa nitoe 20000=/Tsh ili nibadilishiwe Asa huu siutapeli yaani mali yanu imezingua nawarudishia mnipe kingine mnasema yanipasa nitoe pesa hii imekaaje?
Haitoshi hao mafundi sijui mliowajaza humo ofisini kwenu wengi wao wameweka njaa mbele tuu hakuna cha ufundi wala nini
Ving'amuzi vya zamani yaani vile vya bati mlianza kuvizima sauti ili mtuuzie hivyo mlivyotoa matokeo yake navyo fake mteja akirudisha anaambiwa toa kiasi kadhaa cha feza ili tukulekebishie ili hari ninyi wenyewe mmevimute sauti.
Startimes acheni utapeli hao weusi wenzetu mliowajaza hapo ofisini watawaharibia kama mmechoka fungasheni virago mrudi kwenu chaina hatuwataki mnanyonya wananchi walala hoi, juzi nimeenda pale ofisini kwenu kuna mama alileta kisembusi chake hakiwaki kumbe tatizo niwaya ulikuwa mbovu chaajabu kapigwa 14000=/Tsh Asa huu siutapeli?
Serikali iturudishe kwenye mfumo wetu wa analogy la sivyo tutaendelea kupigwa, pesa ngumu kupatikana aisee.
Kwanza nikiri kwamba sina maana nataka kuwaharibia biashara yetu ila kwa haya mnayoyafanya nidhahiri mnataka kujiaribia nyinyi wenyewe hasa kwa kuwatapeli wananchi maskini ambao tupo wengi tunatumia hivyo visimbusi vyenu
Startimes kumbukeni nyinyi ndiyo mlisababisha tukahama kutoka ulimwengu wa analogy mpaka Digital sasa iweje hii leo mnageka kuwa matapeli
Anyway Acha nitoe evidence ambayo mimi mwenyewe imenikuta, mwezi uliopita nilinunua kisimbusi Chenu mnachokipigia promo kuwa ni 49000=/Tsh ingawa siyo bei hiyo kama mnavyoinadi, haikupita mwezi kikawa hakionyeshi picha nilipokirudisha naambiwa nitoe 20000=/Tsh ili nibadilishiwe Asa huu siutapeli yaani mali yanu imezingua nawarudishia mnipe kingine mnasema yanipasa nitoe pesa hii imekaaje?
Haitoshi hao mafundi sijui mliowajaza humo ofisini kwenu wengi wao wameweka njaa mbele tuu hakuna cha ufundi wala nini
Ving'amuzi vya zamani yaani vile vya bati mlianza kuvizima sauti ili mtuuzie hivyo mlivyotoa matokeo yake navyo fake mteja akirudisha anaambiwa toa kiasi kadhaa cha feza ili tukulekebishie ili hari ninyi wenyewe mmevimute sauti.
Startimes acheni utapeli hao weusi wenzetu mliowajaza hapo ofisini watawaharibia kama mmechoka fungasheni virago mrudi kwenu chaina hatuwataki mnanyonya wananchi walala hoi, juzi nimeenda pale ofisini kwenu kuna mama alileta kisembusi chake hakiwaki kumbe tatizo niwaya ulikuwa mbovu chaajabu kapigwa 14000=/Tsh Asa huu siutapeli?
Serikali iturudishe kwenye mfumo wetu wa analogy la sivyo tutaendelea kupigwa, pesa ngumu kupatikana aisee.