Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteni kwa michango yenu na ushauri.
Nitachanganya ushauri na akili yangu halafu nitapata jibu.
Hizo TV hazina kampuni, ni za Startimes na zimeandikwa Hisense. Hazihitaji Dishi wala antenna.
OK then, kati ya Sony na Sanyo ni TV ipi Bomba?
Kuna sony flat model mpya zimeingia-flat screen, je ni nzuri?
LG vipi ukilinganisha na SAMSUNG?
Wachina wanatengeneza vitu vingi tu ambavyo vimewekewa brand names tu. Nimegundua vitu vingi ninavyoumia ni made in China. Mfano ni laptop yangu ya Compaq, navigator etc.Mkuu,
Hisense ni chinese brand ya miaka nenda rudi...Pia watanzania inabidi tuamini kuwa kuna other chinese brands which are international known for many yrs.mfano mdogo mmoja wapo ni hii kampuni ya hisense au haier ni kampuni ambazo zinameet international standards in electronics industry.Pia nadhani kwa hiyo bei waliyokutajia ni fair kabisa kwa hiyo tv(original) Ila pia kumbuka chinese can make anything in the world and put what logo/brand name they want hiyo kwao si shida so cha msingi ni kujua kama ni ya ukweli au fabricated kwa kujaribu kujua hata warranty ikoje!
ni hayo tu!
Wachina wanatengeneza vitu vingi tu ambavyo vimewekewa brand names tu. Nimegundua vitu vingi ninavyoumia ni made in China. Mfano ni laptop yangu ya Compaq, navigator etc.
Achana nazo utaja lia bure huu ni ushauri wa bure technically hizo TV za Chaina ni bomu
Achana nazo utaja lia bure huu ni ushauri wa bure technically hizo TV za Chaina ni bomu
Mkuu NV, wakati mwingine tujaribu japo kidogo kuepuka kujibu kwa kutumia mazoea! Kuna vitu vingi sana vya China tunavyotumia ambavyo ni Imara. Nina DTop yangu ya DEll made China ambayo ninatumia mwaka wa 4 sasa haijanipa matatizo yoyote mi kazi yangu ku-update program tu! Kuna mwanajamvi ameeleza vizuri hapo juu kuwa tatizo la wabongo wengi ni kutaka vitu vya bei chee matokeo yake ndio hayo! Kama una uhakika wa ubovu wake fafanua vizuri kwa hoja zinazoeleweka ili wote tupate somo badala ya kujibu juu juu tu kuwa "achana nazo, utjalia bure"!