KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 230
- 309
Leo ni siku ya tatu toka nilipie king'amuzi kila nikiwasha tv inaonyesha kwa sekunde chache kisha yanatokea maandishi 'no service' mjue nimelipia ili nipate habari na yanayoendelea nchini kwetu na nje na pesa yangu ikiisha muda wake, nyie mnakata huduma hamna fidia kwa hii 'no service ' iliyopo sasa kwenye tv screen, naomba tuheshimiane kwa hii hali ilivyo sasa! kama mmeshindwa kupambana na hali yenu msituvishe tai ya moto, bwageni manyanga.