Start From Now: I'm CCM, Real CCM

Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo!



Mwenye mapenzi ya kweli na Tanzania hawezi kutetea uongo uliokithiri kama huu.



Hata mnafiki pole pole anaujua ukweli kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki chama cha wahuni na mafisadi hakiwezi kushinda.



Hakika!!
Chadema ni dhaidu zaidi pamoja na mapungufu CCM.
Ni bora kuendelea na CCM kuliko hawa ambao hujui wanataka kuja kufanya nn wakishika dola
 
13912358_1568011230171684_8702212615280387452_n-jpg.492132




Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
 
Kweli umeanza safari ya matumaini. Hatuna chama cha upinzani Tanzania bali tuna chama cha msimu, vituko na matukio.
 
Mbona unazungumzia chadema tu vipi Chauma,ADC,Nccr,CUF, huoni kwamba una sgenda binafsi maana hao nao wapinzani,mi badhani tuwape heshima viongozi wetu wa vyama vyote,huwezi kubadili mfumo,mfumo unabadilika wenyewe.
 
Mbona unazungumzia chadema tu vipi Chauma,ADC,Nccr,CUF, huoni kwamba una sgenda binafsi maana hao nao wapinzani,mi badhani tuwape heshima viongozi wetu wa vyama vyote,huwezi kubadili mfumo,mfumo unabadilika wenyewe.
Hivyo sio vyama, ni genge la wahuni wa kisiasa
 
Nafurahi kuona maoni yako lakini mi nikimsikia Mze Hashim Rungwe, naona anajitahidi ,ila vyama vyetu vinatakiwa kufanyiwa marakebisho na hizi kelele za watu si bure kwa sababu mi binafsi sifahamu falsafa na misimamo ya vyama vyetu,kuna wasimamia jembe na nyundo ndio wakandamizaji na wabezaji,wanademocrasia hata katiba yao hawaisemei,wazalendo,sijui haki sawa hawaeleweki,yaani tunaangalia wapi kuna unafuu tu.
 
Mkuu tafadhali sana.
Sina njaa kama unavyofikiri, na wala sihitaji chochote kulipwa kufanya haya.
Kwanza utambue hakuna kiongozi au mwana lumbumba anae fahqm ID yangu, hivyo sina maslai yoyote ya kifedha au mali kufanya maamuzi haya.

Ibainike wazi hii ni demokrasia, kutoka upinzani kwenda CCM ni demokeasia, naomba utambue hivyo, usiongizwe na hisia, tumia akili kufikiri
Siamini mtu aliyekwenda shule kuona kutumia cheti Kisichokuwa halali kuwa ni jambo dogo! Elimu yako ina walakini ndugu yangu. Cc cocochanel
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi

Njaa ndo inakusumbua
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
So sorry there is Tab in the booth
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
Suala la Makondakita ni kila mtanzania mwenye kujitambua haungi mkono!
 
Hakika!!
Chadema ni dhaidu zaidi pamoja na mapungufu CCM.
Ni bora kuendelea na CCM kuliko hawa ambao hujui wanataka kuja kufanya nn wakishika dola
We ni mnafiki umesema bora kuendelea na CCM kwa lugha rahis ulikuwa kulekule Endeleeni na upumbavu wenu mwisho wenu uko karibu
 
Back
Top Bottom