BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo!
Mwenye mapenzi ya kweli na Tanzania hawezi kutetea uongo uliokithiri kama huu.
Hata mnafiki pole pole anaujua ukweli kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki chama cha wahuni na mafisadi hakiwezi kushinda.
Mwenye mapenzi ya kweli na Tanzania hawezi kutetea uongo uliokithiri kama huu.
Hata mnafiki pole pole anaujua ukweli kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki chama cha wahuni na mafisadi hakiwezi kushinda.
Hakika!!
Chadema ni dhaidu zaidi pamoja na mapungufu CCM.
Ni bora kuendelea na CCM kuliko hawa ambao hujui wanataka kuja kufanya nn wakishika dola