Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Ninakuwa mnyoofu wa moyo katika kuliongelea gemu la leo maana kinachonisukuma ni uzalendo tu ila si soka!
Timu yetu imekuwa nzuri kiufundi, tatizo lake ni hamasa tu!
Tunahitaji mtu mhamasishaji kama maximo au julio na polsen abaki kuwa mtaalamu wa ufundi tu!
Kuifunga Moroco leo ni maajaliwa ya muumba hata tungefukia binadamu pale Markhesh kipigo bado kitatuaandama tu!
Mwenye ratiba sahihi ya mechi atujuzi tuonyeshe uzalendo wetu!!!
Timu yetu imekuwa nzuri kiufundi, tatizo lake ni hamasa tu!
Tunahitaji mtu mhamasishaji kama maximo au julio na polsen abaki kuwa mtaalamu wa ufundi tu!
Kuifunga Moroco leo ni maajaliwa ya muumba hata tungefukia binadamu pale Markhesh kipigo bado kitatuaandama tu!
Mwenye ratiba sahihi ya mechi atujuzi tuonyeshe uzalendo wetu!!!