Starring ya gari kuwa ngumu kukata kona.

swamila

Senior Member
Apr 4, 2015
176
81
Wanajamvi nini kinasababisha starring ya gari inakuwa ngumu unapokuwa unadrive hususani ktk kupiga kona?
 
Wanajamvi nini kinasababisha starring ya gari inakuwa ngumu unapokuwa unadrive hususani ktk kupiga kona?
Kama gari yako inatumia power steering, kuna mambo mawili ambayo huenda mojawapo linaleta shida hiyo.
  1. Power Steering controller imechoka (hapa utahitaji kubadili nyingine). Hii huzungushwa na belt kule kwenye injini
  2. Mafuta ya hydraulic ya power steering yamekwisha.
 
Steering wheel kuwa ngumu inasababishwa na ukosefu/kuisha kwa kilainishi chake. magari mengi yanatumia " automatic hydraulic oil inayowekwa kwy gearbox kama kilainishi.

Mkuu yaelekea huwa hufungui bonet ya gari yako kabisa kwa ajili ya kukagua "fluids"
 
Steering wheel kuwa ngumu inasababishwa na ukosefu/kuisha kwa kilainishi chake. " automatic hydraulic oil inayowekwa kwy gearbox kama kilainishi.

/QUOTE]

Mkuu umechanganya madesa gear box ahiusiki kabisa na mambo YA sterling
..... Kuna kitu kinaitwa pressure pump YA sterling ihii inakuwa na belt IPO conected na engen na kitu kingine konaitwa sterling box ihii IPO mbele usawa wa Chuma YA sterling inapotekea kwa dreva ndani yake kuna seal zikipasuka uwa zinamwaga mafuta na sterling itakuwa ngumu na ukikata Kona Kali Sana utasikia ikilalamika...... Nivyema jamaaa akawaona mafundi walio karibu nae
 

Babuu blessed Sijachanganya hata kidogo. Kama ulikuwa hujui ni kwamba oil ya gearbox ya hizi gari auto ndio hiyo hiyo inawekwa kwenye mkebe wa oil ya power steering. Nilishawahi kuwa na hili tatizo kwy kigari changu na kisolve hilo tatizo kwa kuweka hiyo oil ya gearbox. Uliza wataalam watakuambia.
 
Angalau wewe umeonyesha mwelekeo

Ushajua ni gari gani kama Landrover 109.

Wewe aujuwi magari sio lazima Kila gari liwe na mkebe wa hydroulic fuel.... Mleta mada ingekuwa vizuri ukasema na aina YA gariiii
Wewe uzi mzima kazi yako kukosoa tu, ushauri wako uko wapi?
 
Kama gari yako inatumia power steering, kuna mambo mawili ambayo huenda mojawapo linaleta shida hiyo.
  1. Power Steering controller imechoka (hapa utahitaji kubadili nyingine). Hii huzungushwa na belt kule kwenye injini
  2. Mafuta ya hydraulic ya power steering yamekwisha.
Mkuu uko vizuri inaonesha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom