Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Umeshawahi kujiuliza kuhusu yule jamaa aliyekuwa na uwezo wa kumuigiza MWALIMU NYERERE?
Umeshawahi kujiuliza kuhusu yule jamaa aliemuigiza Magufuli- BARAKA MAGUFULI?
Ulishawahi kujiuliza kuhusu 'J K Comedian' Alipoiga Sauti Za Rais Magufuli Na Kikwete Mbele Ya Makamu Wa Rais Mama Samia?
Hao wote wangeamua kumchafua mhusika, tungesema kuwa ni mhusika mwenyewe kahusika?
Kama wanatengeneza 'fake video' watashindwa 'fake sound/voice'???
Raia "Wengi" hawampendi Raisi magufuli na yeye mwenyewe analitambua hilo, kwa hiyo lolote laweza kutokea.
Nape na Kinana wako "smart sana" hawawezi "kuji-expose" kwa kiasi hicho hata kama hawamuungi mkono raisi.
Nyelele (siyo Nyerere) wa Chattle kafumbua macho, laana yake itawateketeza.
Umeshawahi kujiuliza kuhusu yule jamaa aliemuigiza Magufuli- BARAKA MAGUFULI?
Ulishawahi kujiuliza kuhusu 'J K Comedian' Alipoiga Sauti Za Rais Magufuli Na Kikwete Mbele Ya Makamu Wa Rais Mama Samia?
Hao wote wangeamua kumchafua mhusika, tungesema kuwa ni mhusika mwenyewe kahusika?
Kama wanatengeneza 'fake video' watashindwa 'fake sound/voice'???
Raia "Wengi" hawampendi Raisi magufuli na yeye mwenyewe analitambua hilo, kwa hiyo lolote laweza kutokea.
Nape na Kinana wako "smart sana" hawawezi "kuji-expose" kwa kiasi hicho hata kama hawamuungi mkono raisi.
Nyelele (siyo Nyerere) wa Chattle kafumbua macho, laana yake itawateketeza.