Car4Sale STARLET inauzwa bei poa

Rajabu Msechu

Member
Apr 13, 2016
35
18
Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo.

Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet.

Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa.

Nimeambatanisha na picha zake.

Bei inaanzia Milioni 6.3 huku mazungumzo yakiwepo.

0717 54 73 25.

0ed8ec8779dcd7844ec7a6639aa0e357.jpg


aa4755831fe696e04151960070b14598.jpg


e63df81a35fc64d133807f526687a97e.jpg


f8a24b40dad3c74bec7bb8fafeab9ea1.jpg


11991987b904fdcba19a1433b1fc22aa.jpg
 
kwa usawa huu wa awamu ya 5 sina uhakika kama utapata mteja kwa bei hiyojaribu kupunguza labda milioni 5
 
Kule kupatana nimekutana na starlet mil.3 na imesimamia kucha.
Usawa huu,lazima tuheshimiane sana.
Kule Mbeya wanasema mbombo ngafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom