The sameKAMA KAKOPI INAKUPUNGUZIA NINI KWENYE KIPATO CHAKO CHA KILA SIKU?NYIE NDIO WACHAWI WA BAADAE UZEENI
Diamond Kaishiwa idea na Kik Zimemkataa kwa sasa anachofanya ni kucopy ili aibue mijadara, Jamaa uwezo wake unaporomoka kwa kasi sana
We unavyofikiri kila ngoma ambayo imetoka video yake inakuwa ya pekee haifanani na video yoyote duniani? unafikiri msanii anaangalia video zote duniani mpaka useme anakopi?Huyu jamaa anafanyaga hizi mambo makusudi, mnavyozidi zidi kumuongelea ndio popularity yake inazidi kupanda, he's in showbiz industry
Sent from my ONEPLUS A5010 using Tapatalk
Kwani Diamond ni Mmeo mkuu mpaka uzuie watu wasimzungumzie, Nimeweka Link hapo kawakanye na hao waliomzungumzia, Vip kiba alikupiga kibuti nini maana kila mada ya Diamond unamuingiza kiba, ulishawai kuona namzungumzia kiba hata siku moja hapa jukwaani?Hiv we jamaa Hauna kazi za kufanya kila siku we na diamond tu we jamaa ni mchawi wa asili.Me ujue nakushaa kwanini usifocus kwa msanii wako kiba kumsapoti.
Komaa na Kiba achana na diamond.Kwani Diamond ni Mmeo mkuu mpaka uzuie watu wasimzungumzie, Nimeweka Link hapo kawakanye na hao waliomzungumzia, Vip kiba alikupiga kibuti nini maana kila mada ya Diamond unamuingiza kiba, ulishawai kuona namzungumzia kiba hata siku moja hapa jukwaani?
Huyu msanii uwezo binafsi ndio umeishia hapo.. Kabakiza kukopy na kuimba matusi.. nawashauri wamfungulie mashtaka ya hati miliki ili alipe fine iwe funzo kwa wasanii makanjanja kama yeye..
Huyo msanii hata hafaamiki yupo uko Brazil hiyo video yake imekopiwaje?Nilichosema. Na ulichoandika n vtu viwili tofaut.
Unamfungulia mashtaka kwa kukopy sehemu ya video? Duu hii mpya.Kama ingekuwa hivyo Avant angekuwa tajiri.Huyu msanii uwezo binafsi ndio umeishia hapo.. Kabakiza kukopy na kuimba matusi.. nawashauri wamfungulie mashtaka ya hati miliki ili alipe fine iwe funzo kwa wasanii makanjanja kama yeye..
Acha kutoka povu kafanye kaziNilichosema. Na ulichoandika n vtu viwili tofaut.