Nimekua nikimbinga ruzuku kwa vyama siasa, Naona mbowe nae anapita kwenye line hiyohiyo, vyama vinatakiwa vijiuze kwa raia, kama raia tunapendezwa na sera zao tutawachangia, hii itafanya vile vyama vinavyojihusishwa tu na raia ndio vinakua maarufu
nasari anaongea kuhusu yeye kutokua na mke, akatoa mifano ya zito na mnyika ambao bado hawajaoa pia, facial expression ya zitto inaonyesha hajapenda sana hicho kipengele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.