Team nzima ni wambea watupu, hakuna anayejenga hoja ila ni umbea, wivu na kupongeza wakuu kuona kama watakumbukwa.
Wengine wanajiita Wajamaa! Makada wa CCM. Shame upon them! Mtu mzima anasema kuwa utawala wa sheria na haki za binadamu ndivyo vinadumaza maendeleo, linajikomba kwa vile kuna wakubwa hawafuati sheria, wanavunja haki za binadamu.
Wengine wanajiita Wajamaa! Makada wa CCM. Shame upon them! Mtu mzima anasema kuwa utawala wa sheria na haki za binadamu ndivyo vinadumaza maendeleo, linajikomba kwa vile kuna wakubwa hawafuati sheria, wanavunja haki za binadamu.