Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Majanga hapa Tanzania ni matokeo ya siasa chafu,
Angali wakati wa uchaguzi vifaa vya kutisha watu yanavyoandaliwa mapema kwa gharama kubwa, lakini meli inazama au ajali ya moto inatokea wahusika wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio. Hata wakifika utakuta hawana vitendea kazi.
Utatuzi : Tuondoe watawala wasiowajibika na mifumo isiyotenda kazi.
Angali wakati wa uchaguzi vifaa vya kutisha watu yanavyoandaliwa mapema kwa gharama kubwa, lakini meli inazama au ajali ya moto inatokea wahusika wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio. Hata wakifika utakuta hawana vitendea kazi.
Utatuzi : Tuondoe watawala wasiowajibika na mifumo isiyotenda kazi.