Star TV Tuongee Asubuhi Sunday 06 June 2011: Mivutano ya wanasiasa ina tija kwa Watanzania?

Fafanua Mkuu
Huyu bwana wa kutoka KKKT anaingia kwenye mjadala kwa sababu zipi,hapa kuna mtego mkubwa sana mkuu.

Wote tunajua outcomes zake kama akiunga mkono hoja hiyo au akiipinga.

Bora apinge lakini ikitokea aunge mkono yatasemwa mengi sana..kwa nini basi hukumkaribisha mtu mwingine mwenye uhusiano wa juu kabisa na avator yako ya mwezi na nyota.

Sheikh tunajua uko upande gani tangu kipindi cha uchaguzi,uchaguzi umeisha sasa tujikite kwenye mijadala yenye mlengo wa kuamsha maendeleo kwa nchi yetu yenye watu wa dini mbalimbali na wasionazo.

Natumai sijakukwaza mkuu.

Respect!
 
Huyu bwana wa kutoka KKKT anaingia kwenye mjadala kwa sababu zipi,hapa kuna mtego mkubwa sana mkuu.

Wote tunajua outcomes zake kama akiunga mkono hoja hiyo au akiipinga.

Bora apinge lakini ikitokea aunge mkono yatasemwa mengi sana..kwa nini basi hukumkaribisha mtu mwingine mwenye uhusiano wa juu kabisa na avator yako ya mwezi na nyota.

Sheikh tunajua uko upande gani tangu kipindi cha uchaguzi,uchaguzi umeisha sasa tujikite kwenye mijadala yenye mlengo wa kuamsha maendeleo kwa nchi yetu yenye watu wa dini mbalimbali na wasionazo.

Natumai sijakukwaza mkuu.

Respect!

Mkuu AVATA hiyo inasimamia Communism na haina uhusiano na Dini yoyote aliitumia V.I.Lenin wakati wa mapinduzi ya SOVIET. Nikuhakikishie kuwa ni mmoja wa Nyerere followers ndo maana nimependa nembo hiyo japo Ujamaa mhh. Hakika mchungaji huyu anakuwepo katika kipindi kama mtanzania wa kawaida hawakilishi dini wala msimamo wa Kanisa ni kama alivyo na haki mtu yeyote ya kutoa maoni chini ya KATIBA ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naomba tueleweke hatukaribishi wageni kwa utashi wa DINI wala Vyama tunahitaji hoja za mtanzania yeyote. Uchungaji ni Fani yake tu.

Sijui kama utakuwa umenipata Mkuu
 
Mvutano wa kisiasa ni lengo la kuidhoofisha siasa. Ikumbukwe wapinzani hawavutani ila ccm ndo wanaleta mawazo hewa yanayoleta mvutano. Kwa nini chama tawala kisiwe tayari kukubali nyendo za nyakati? Kama tunataka maendeleo govt.iache kukurupuka,itumie vyombo vya ulinzi kulinda nchi. Kama wananchi wanaishi vyema wapinzani wangeweza kuongea nini? Ikumbukwe tangu mwanzo wao wanatetea haki zetu!
 
Huyu kada wa ccm Rutalaka anaongelea theory sana.eti kama kuna tatizo watu waende kwenye kamati ya maadili.anachokisema kwa sasa hakitekelezeki,hizo kamati za maadili zimepoteza credibility na zimeshikiliwa na corrupt leaders.njia pekee ni kuwashtaki kwa umma.isitoshe hata ukipeleka hayo malumbano kwenye kamati ya maadili bado yatabaki kuwa malumbano na kama hayana tija kwa wananchi yatabakia hivyo iwe ndani ya kamati ya maadili au majukwaani.
 
hiyo mada imechakachuliwa na watu ambao wanahisi kuwa watanzania bado ni mbumbumbu.watashindwa vibaya kama alivyoshindwa antony diallo wa ilemela...............wasome alama za nyakati kabla wananchi hawajavamia hicho kituo chao...............
 
napenda pia kuishauri star tv hata kama mmili wake ni wa chama haimaanishi wawe waoga kuruhusu m2 kutoa mawazo yake ka lengo ni kuchangia hoja,mfn just nw nlikua nachek mchangiaji hapo studio alivyoanza 2 kukubali kazi zinazofanywa na wapinzan kwenye kamati,mfn zito,mrema,then akamstopisha fasta kisa uoga,uhuru uko wapi ilhali havunji sheria yoyote!ka sta tv ndo hvyo mtapoteza watazamaji,mi mwenyewe afta kutokea hli nikahamia station ingne.igeni kenya uone wanavyopasua no mata ni mmilik or nt
 
Huyu kada wa ccm Rutalaka anaongelea theory sana.eti kama kuna tatizo watu waende kwenye kamati ya maadili.anachokisema kwa sasa hakitekelezeki,hizo kamati za maadili zimepoteza credibility na zimeshikiliwa na corrupt leaders.njia pekee ni kuwashtaki kwa umma.isitoshe hata ukipeleka hayo malumbano kwenye kamati ya maadili bado yatabaki kuwa malumbano na kama hayana tija kwa wananchi yatabakia hivyo iwe ndani ya kamati ya maadili au majukwaani.

Ama kweli umetoa point nkafurah mdau,kwa tanzania kweli ukiangalia kwa umakin hakuna unapoweza kwenda ukawa na uhakika wa kupata haki na ukarithika,mungu hii katiba inabidi ikiwezekana 2kaedit ya kenya kdogo mana kdogo ipo uzur,hii tabia ya rais kuteua viongoz weng kwa utash wake hainipi raha kabisa
 
Mkuu Yahya. Sehemu yoyote ile ni kwamba no Contradiction no Development. Mvutano ni lazima katika jamii yoyote inayohiaji maendeleo. Hii ni kwa sababu ya kuwa na maadili tofauti. Kama mmoja ana lengo la kuliibia taifa alafu mwingine anaona si vyema lazima wavutane. Pale wanapovutana kila mmoja anatoa ushahidi ili kuthibitisha msimamo wake. Hapo ndo tija inaonekana kwa sisi kuujua ukweli. Wakiamua kukaa kimya siku moja tutakuta nchi imeuzwa. Bila mvutano tusingejua DOWANS, KAGODA, EPA, KUVUA GAMBA n.k. Iwe ndani ya chama au kati ya chama na chama baado mivutano ni muhimu maana si wote ni waadilifu. Narudia kusema kuwa no contradiction no development. Asanteni
 
Star tv mmetumwa na nani? Na hao watu wenu hapo studio wanatafuta tu sifa. Mbatia anajifanya mzee wa busara sana kumbe hamna lolote. Anapenda sana kuonekana mnyenyekevu.
Star wekeni mahojiano kuhusu kukamatwa kwa mbowe na zito na si kutuwekea watu tusio wajua.au kama mmeshindwa wekeni hata tamthilia za wafilipino tucheki.
 
Star tv mmetumwa na nani? Na hao watu wenu hapo studio wanatafuta tu sifa. Mbatia anajifanya mzee wa busara sana kumbe hamna lolote. Anapenda sana kuonekana mnyenyekevu.
Star wekeni mahojiano kuhusu kukamatwa kwa mbowe na zito na si kutuwekea watu tusio wajua.au kama mmeshindwa wekeni hata tamthilia za wafilipino tucheki.


Duh hatufanyi kazi hivyo hii ni taaluma mkuu na hatuko tayari kuweka maneno midomoni kwa watu. Bahati mabaya unaonekana kuna jambo ulipenda kulisikia na hukulisikia so roho imekuuuma. Suala la Mwenyekiti lina utata wa kisheria ngoja lisimame mahala pake so hatukurupuki kufanya kazi.
 
napenda pia kuishauri star tv hata kama mmili wake ni wa chama haimaanishi wawe waoga kuruhusu m2 kutoa mawazo yake ka lengo ni kuchangia hoja,mfn just nw nlikua nachek mchangiaji hapo studio alivyoanza 2 kukubali kazi zinazofanywa na wapinzan kwenye kamati,mfn zito,mrema,then akamstopisha fasta kisa uoga,uhuru uko wapi ilhali havunji sheria yoyote!ka sta tv ndo hvyo mtapoteza watazamaji,mi mwenyewe afta kutokea hli nikahamia station ingne.igeni kenya uone wanavyopasua no mata ni mmilik or nt

Hii ni profession kama zilivyo nyingine na si kazi ya huduma kwa umma. Soma kuhusu sheria na kanuni za Deffamation utaelewa ni kwa namna gani wakati mwingine mwandishi hawezi kutoamwanya wa kugeuza TV kijiwe cha kahawa,unamtukana yeyote kwa namna unavyojisikia na hakuulizi Mtu. Si kwa sheria na kanuni za Utangazaji. Hapo yanazingatiwa maadili na Miiko ya Taaluma Mkuu. Soma sheria hiyo utakuwa Balozi mzuri na si ushabiki usiokuwa na Tija.
 
hiyo mada imechakachuliwa na watu ambao wanahisi kuwa watanzania bado ni mbumbumbu.watashindwa vibaya kama alivyoshindwa antony diallo wa ilemela...............wasome alama za nyakati kabla wananchi hawajavamia hicho kituo chao...............


!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????????????????
 
Rais JK anaendekeza udini.
Watu wanauwawa TARIME,MBEYA ila haimuumi kwa sababu wanaokufa si waislam wenzie

Maeneo hayo yana wakristo kwa wingi so ni sawa kabisa kusema rais haumizwi na vifo vya wasio waislam.
Alipokufa sheikh yahya (mtu mmoja ) rais alihudhuria mazishi kisa UISLAM.

mimi ni CCM damdamu ila sipendezwi na move za udini wa JK.ikilazimu ntahamia NCCR
 
Rais JK anaendekeza udini.
Watu wanauwawa TARIME,MBEYA ila haimuumi kwa sababu wanaokufa si waislam wenzie

Maeneo hayo yana wakristo kwa wingi so ni sawa kabisa kusema rais haumizwi na vifo vya wasio waislam.
Alipokufa sheikh yahya (mtu mmoja ) rais alihudhuria mazishi kisa UISLAM.

mimi ni CCM damdamu ila sipendezwi na move za udini wa JK.ikilazimu ntahamia NCCR

Tumtendee haki Rais Mkuu, hivi kama ni kuhudhuria misiba ya Waislam na Wakristo ukichukua ratio ya vifo na uhudhuriaji wa Rais kwa Mwaka huu utapata jibu. Ila tusikubali kukumbatia udini na Ukabila. Tuipiganie usawa kwa watanzania wote bila kubaguana maana damu inayomwagika ni ya ndugu zetu hakuna ubishi. Tusibaguane hii dhambi tutaijutia milele mkuu. Sambaza ujumbe wa Amani na si udini wapi tunakwenda Watanzania. Ukiniambia udini, mie bada yangu mkubwa Mrutheri nimweke wapi na mie Muislamu. Uache kasumba hizo.
 
Yahya,
Awali ya yote yatupasa kuelewa juu ya siasa husika, ni vema tukatofautisha baina ya SIASA (MASLAHI BINAFS)I dhidi ya ile SIASA (KWA MASLAHI YA UUMA).

Katika taifa letu hili la Tanzania, majority ya wanasiasa wetu wapo mahsusi kwa niaba ya SIASA BINAFSI:
· Kwamba wapo radhi kutumia nguvu binafsi kufanikisha azma yake/zao katika jambo Fulani lenye taswira ya utaifa wa Mtanzania.
· Kwamba wapo tayari (kwa gharama yoyote) kuhakikisha dhamira zao kimaslahi zinafikiwa (tupende au tusipende).
· Kwa mara kadhaa hudiriki kutumia mamluki kuwahadaa wananchi kwa mithili ya uguswaji wao na hali dhalili walizonazo wananchi, tena huwa ni wenye nyuso na matamshi mazito kanakwamba hawakujua matatizo yaliyopo tangu awali.
· Kwamba matamshi yao hayaendani kamwe na matendo yao, machungu ya wanasiasa hayaendani na ukataaji wa ruzuku wapewazo katika kuendesha aidha vyama vyao au kwa nyadhifa zao majimboni…kwa kupinga na kukataa kodi ya watanzania kutumika ndivyo-sivyo, bali huwa ni werevu na watulivu tena wasiothubutu kurejea hoja zenye kugusa maslahi yao.
· Uroho,umaskini, ufedhuli na ufisadi huwashamiri hawa wanasiasa,, hujisahau kama ni wanaadam na wameumbwa…wajue watahukumiwa kwa wayatendayo.

Katika upande wa pili juu ya siasa nikimaanisha SIASA MASLAHI YA UMMA:
· Ni aghalabu kuwapata wafasaha wa kundi hili, ni wachache sana wenye imani ya dhati kwa watamkayo na watendayo kwa wananchi mithili yam zee Madiba, hayati Ghandi wa India…ni sura pekee ambazo hazikuegemea ubinafsi zaidi ya wananchi kuwatumikia.
· Miongoni mwa wanasiasa wa kundi hili aidha huwa ni wenye kuegemea upande Fulani wa imani zao kidini na kusahau zingine, japo huleta usawa wa kuridhisha wa maendeleo kwa jamii nzima.
· Kundi hili huwa na ufinyu wa fitna, mara nyingi huwasikiliza wananchi wanataka nini.
Kiujumla kwa siasa za Tanzania, hazina taswira nzuri huko siku za usoni. Wanasiasa hawaendani kabisa na matamshi yao, watamkacho sicho watendacho, hawaaminiani kabisa, wapo tayari hata Amani ivurugike kwa muda ili ‘ukombozi’ upatikane, ndani ya hao wanasiasa wakombozi…bado malumbano yashamiri, wao kwa wao kunyimana fursa za kiushawishi miongoni mwao, na yote haya husababishwa na kuporomoka kwa miiko ya kiuongozi shauri ya uchu wa MASLAHI SIASA BINAFI.

Nawasilisha,
Yousuph .M.
DSM
Yusuph,
Umenena vizuri sana rafiki. Isipokuwa sijui kwa kusahau au chuki binafsi usimtaje Mwl Nyerere, the great man of Africa. Otherwise you are 95% ok. Thanks
 
Tumtendee haki Rais Mkuu, hivi kama ni kuhudhuria misiba ya Waislam na Wakristo ukichukua ratio ya vifo na uhudhuriaji wa Rais kwa Mwaka huu utapata jibu. Ila tusikubali kukumbatia udini na Ukabila. Tuipiganie usawa kwa watanzania wote bila kubaguana maana damu inayomwagika ni ya ndugu zetu hakuna ubishi. Tusibaguane hii dhambi tutaijutia milele mkuu. Sambaza ujumbe wa Amani na si udini wapi tunakwenda Watanzania. Ukiniambia udini, mie bada yangu mkubwa Mrutheri nimweke wapi na mie Muislamu. Uache kasumba hizo.

mkuu ... be careful and you need to be neutral na kibiashara zaidi ..... usije ukatengeneza automatic segregation ya TV business yenu .....

at your level and for your future tv programs...... stay out of mabishano humu JF
 
Back
Top Bottom