Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Mada hii itajadiliwa Jumapili 06 June 2011 kuanzia saa 1 na dk 30 asubuhi Star TV. Baada ya kimya kirefu na majukumu mengine ya Kiofisi tutakuwepo wiki hii kuwezesha mjadala pamoja na Watanzania juu ya Mada husika. Toa mtazamo wako na utapata nafasi ya kusomwa hewani kwa manufaa ya umma wakati wa Kipindi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.