Tangu mvua zianze kama unatumia Startime basi hesabu kutiwapata hadi mvua ikate. Hata mimi siwapati siku ya nne sasaHabari bandugu
Mimi nina malalamiko na hizo media hasa leo hazipo hewani na sioni any apologies, kwanini? Au mzee Diallo nae ameanza kuisoma namba?
Wahusika naomba majibu.
Habari bandugu
Mimi nina malalamiko na hizo media hasa leo hazipo hewani na sioni any apologies, kwanini? Au mzee Diallo nae ameanza kuisoma namba?
Wahusika naomba majibu.
Hivi unadhani kila anayeangalia Star TV analipia, si kweli. Kama unatumia satellite dish ni bure!Umelipia?
Leo kwenye Azam wamerudi kiainaTangu mvua zianze kama unatumia Startime basi hesabu kutiwapata hadi mvua ikate. Hata mimi siwapati siku ya nne sasa
Mimi natumia dishi la ZUKU, sina tatizo na STAR TV naipata vizuri tu. Kuhusu Radio Free sifahamu kwa kuwa huwa sisikilizi radio.Habari bandugu
Mimi nina malalamiko na hizo media hasa leo hazipo hewani na sioni any apologies, kwanini? Au mzee Diallo nae ameanza kuisoma namba?
Wahusika naomba majibu.
Jamani au imekuwa kwa wachache waliochaguliwa ka ofa za kwenye simu..Cha ajabu hadi radio free africa nayo imepotea.
siku hizi wanaboa sn, wakata matangazo mara kwa mara bila sa
labda zipo za msngi,,,,,,sisi hatuzjui