obama sererea
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 101
- 37
Kwa hivi siku karibuni kituo cha television cha star tv na radio free ya jijini mwanza kimeonesha wazi wazi kuwa sasa kinafanya kazi zake kwa kutekeleza matakwa ya chama cha ccm,hii imeonekana kwenye baadhi ya vipindi vyake,kama vipindi vya kusoma magazeti asubui wamekuwa hawasomi magazeti kama tanzania daima na mengine yenye kukosoa serikali ya ccm,nawakumbusha ikumbuke umaarufu wake iliupata baada ya kuto mpendelea mtu kwenye habari zake,niwakumbushe majira sasa wako wapi na wametoka wapi,watanzania wanauwezo wa kuwapoteza mkawa kama radio uhuru