Star tv na mahojiano na msanii jaqline pentel

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,066
454
Jana usiku star tv walifanya mahojiano na msanii wa filamu za kibongo jaqline pentel. Angalia kivazi kinakera na wahusika hawakustahili kumhurusu kuja studio na aina hii ya kivazi.
 

Attachments

  • 24092011286.jpg
    24092011286.jpg
    167 KB · Views: 312
Its like amevaa jezi juu while chini hamna kitu kabisaa...na ulivyomvizia kwenye hiyo screen ya tv basi anaonekana balaa tupu!
 
mkuu hapa naona unaingilia haki ya msingi kabisa ya wadogo zetu wa kiume ambao baada ya kuangalia mambo kama haya kwa muda hukimbilia chooni kwenda kuzipunguza hahaha!
 
Aliyeandaa kipindi hicho hakutakiwa kumruhusu kwa mavazi hayo maana haileti muonekano mzuri kwa watizamaji wakiwemo watoto wanaoibukia. mtangazaji mwenyewe namwona kama Sauda vile,kama ndie sishangai maana nae ndo wale wale!
 
Hey jamani na nyie mnaona kweli. Kwani hapo kuna nini si miguu tu inaonekana?
 
aah! tumeshawazoea hao. hata watu waseme namna gani hawabadiliki, bora kuwapotezea tu.
 
Huo ndio utamaduni TZ inaoukimbilia wa kuvunja siha na mila zetu. AIBU TUPU pamoja na mtangazaji SHAME ON YOU TO BE ON AIR THAT WAY
 
Wasanii wetu wamekosa maadili kabisa, siwezi kuwalaumu sana star TV kwani kama ulishaandaa kipindi hasa cha live ni vigumu kumzuia mgeni dakika za mwisho my be kama wangeshirikishwa kwenye uchaguzi wa hilo vazi, ila kiukweli wasanii wetu wanapaswa kubadilika.
 
Haina tofauti na mtu aloko uchi, dada zetu ndokusema utamaduni wetu hamkuukuta wakati mnazaliwa?
 
Hivi ni nani aliwadanganya kuwa ukiwa star lazima uvae kituko? so weird
 
Njaa inawasumbua+ ulimbukeni wa kuangalia tamthilia.
Bahati mbaya wanakuwa wametumika sana ila kwa asiewafahamu lazma adate!
Ila sie tulobobea wala ha2on kipya ndan ya sket zao.
 
biashara tangazo kashasema katoka uchagani huko rombo kuja dar kutafuta mshiko kwa hiyo promo inahusika hapo.
Wapi shostii
 
Back
Top Bottom