IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,382
Waziri wa habari atahatibu kabisa yule-..hajuagi chochote za ya kujiinua mabega na kujimwambafai na degree 4 zisizo na impact yoyote kwenye jamii.
...ila huyu Msemaji wa serikali nimemkubali ,.yuko calm na anaongea hoja/logic bila mbwembwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
...ila huyu Msemaji wa serikali nimemkubali ,.yuko calm na anaongea hoja/logic bila mbwembwe.
Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavuwa, kiukweli Dr. Abbas yuko vizuri, baada ya Dr, Waziri wa Habari, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe pia ataalikwa na kisha Naibu Waziri, Mhe. Juliana Shonza pia wataalikwa.
P
Sent using Jamii Forums mobile app