Star TV mnachofanya sio haki kwa wapenda soka

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,288
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili, kwenye habari za michezo.
Kwenu habari ya Redknapp na QPR mmeipa kipaumbele kuliko matokeo ya CECAFA Challenge, mkaiweka ya kwanza na maelezo mareeefu huku habari ya CECAFA mkaitangaza kwa wastani wa sekunde 5.
Tunapeleka wapi michezo yetu sasa, kama kwenu QPR wana maana kuliko michuano ambayo timu yetu ya Tanganyika inashiriki. Halafu watu wasipoangalia mechi za ndani mnakuwa wa kwanza kuwashangaa wakati wajibu wenu mwautekeleza kwa magumashi.
Tafadhali, nyie ni media house na mna jukumu kubwa katika kubadili hali ilivyo...
 
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili, kwenye habari za michezo.
Kwenu habari ya Redknapp na QPR mmeipa kipaumbele kuliko matokeo ya CECAFA Challenge, mkaiweka ya kwanza na maelezo mareeefu huku habari ya CECAFA mkaitangaza kwa wastani wa sekunde 5.
Tunapeleka wapi michezo yetu sasa, kama kwenu QPR wana maana kuliko michuano ambayo timu yetu ya Tanganyika inashiriki. Halafu watu wasipoangalia mechi za ndani mnakuwa wa kwanza kuwashangaa wakati wajibu wenu mwautekeleza kwa magumashi.
Tafadhali, nyie ni media house na mna jukumu kubwa katika kubadili hali ilivyo...

Ubunifu na uelewa wa waandaaji na watangazaji nalo ni tatizo hawaelewi kipi ni muhimu na kwa sababu gani, pia uvivu wa kufikiri na kubuni maana hizo habari za QPR si wanakopi tu.
 
Ubunifu na uelewa wa waandaaji na watangazaji nalo ni tatizo hawaelewi kipi ni muhimu na kwa sababu gani, pia uvivu wa kufikiri na kubuni maana hizo habari za QPR si wanakopi tu.
sio vizuri kutangaza vya nje wakati tuna vyetu kwanza,itangaze tanzania iiuzike.
 
Ni tatizo si kwa star TV peke yake bali hata stations zingine za TV. Mfano ni mtangazaji mchovu TBC1 waliyemweka tangu juzi kuhoji mwanamichezo atoe comments zake kabla ya mechi. kwa kweli amechoka mbaya! Anaonyesha kuwa mlevi au mgonjwa lakini pia hajui maswali ya kuuliza. Muangalieni alyeanza na michuoano anavyofanya kazi yake kwa umakini mkubwa, hajazubaa na anajua kuuliza maswali kwa mchambuzi...sijaelewa iwapo vituo vyetu vimelewa na sifa wasizonazo au ni nini?
 
Wewe unataka michezo wakat kijijin kwako singida watu wanaenda kuchota maji sakumi usiku na wanakutafis wanasubiri mpaka fisi ziondoke ndio wachote maj na huruhusiwi kuchota ndoo zaid ya moja na wanatumia masaa manne had matano kurud nyumban,mtwara watu wanabadilishana ndoo ya mahind kwa ndoo ya maji,huko kwa pinda watu wanapanda kwenyemiti nakula mibuyu ndio chakula chao hawana ujanja wakupata chakula,watu wanalazimika kulala saa kumi na mbili jion maana hawana mafuta ya taa ya kibatari wengine wanatumia mipira ya baskel kujimulikia,mahospitalin wamama wanaambiwa wajigalimie shuka zao na grovuz zao madawa yanauzwa bei gari na nifeki ukimwi unaongezeka kwa ajir ya umasikin,ndovu zinauliwa hovyo mafisad hawashughulikiwi nchi isha uzwa tanesco wanakata umeme kwa matakwa ya watu wawili shule nzima walimu wawili,haina vyoo wala madawati majengo ya darasa nimanne wakati wanafunz nimpaka darasa la 7.mahakaman tajiri hafungwi na wafungwa wanatoroshwa mabilion yanawekwa nje na wanasema niupepo tu.hivi kweli unasubutu kucheza kweli? Unaijua michezo kweli?tanzania inaviwanja vingapi vya mpira?mbona hulalamiki pale tb1 inapo chakachua habar za bunge na zingine?huna huruma na yanayo tokea hapa tz eti unataka michezo je ungezaliwa hispania au blaziri au usa uingereza.sindio unge kua hupati hata muda wa kufanya kazi kabisa.plz usiwaze michezo kwa sasa komboa taifa linaangamia.mshahara wa wachezaji wa taifa star unaujua wewe?na waeton je?nikwanini ikawa hivyo au mess ana mipu 7 ndiomaana akalipwa hivyo?acha ujuha wawe
 
Wewe unataka michezo wakat kijijin kwako singida watu wanaenda kuchota maji sakumi usiku na wanakutafis wanasubiri mpaka fisi ziondoke ndio wachote maj na huruhusiwi kuchota ndoo zaid ya moja na wanatumia masaa manne had matano kurud nyumban,mtwara watu wanabadilishana ndoo ya mahind kwa ndoo ya maji,huko kwa pinda watu wanapanda kwenyemiti nakula mibuyu ndio chakula chao hawana ujanja wakupata chakula,watu wanalazimika kulala saa kumi na mbili jion maana hawana mafuta ya taa ya kibatari wengine wanatumia mipira ya baskel kujimulikia,mahospitalin wamama wanaambiwa wajigalimie shuka zao na grovuz zao madawa yanauzwa bei gari na nifeki ukimwi unaongezeka kwa ajir ya umasikin,ndovu zinauliwa hovyo mafisad hawashughulikiwi nchi isha uzwa tanesco wanakata umeme kwa matakwa ya watu wawili shule nzima walimu wawili,haina vyoo wala madawati majengo ya darasa nimanne wakati wanafunz nimpaka darasa la 7.mahakaman tajiri hafungwi na wafungwa wanatoroshwa mabilion yanawekwa nje na wanasema niupepo tu.hivi kweli unasubutu kucheza kweli? Unaijua michezo kweli?tanzania inaviwanja vingapi vya mpira?mbona hulalamiki pale tb1 inapo chakachua habar za bunge na zingine?huna huruma na yanayo tokea hapa tz eti unataka michezo je ungezaliwa hispania au blaziri au usa uingereza.sindio unge kua hupati hata muda wa kufanya kazi kabisa.plz usiwaze michezo kwa sasa komboa taifa linaangamia.mshahara wa wachezaji wa taifa star unaujua wewe?na waeton je?nikwanini ikawa hivyo au mess ana mipu 7 ndiomaana akalipwa hivyo?acha ujuha wawe

Sawa mkereketwa, nimemielewa!
 
Ubunifu na uelewa wa waandaaji na watangazaji nalo ni tatizo hawaelewi kipi ni muhimu na kwa sababu gani, pia uvivu wa kufikiri na kubuni maana hizo habari za QPR si wanakopi tu.

Nimekusoma!
Tunabaki tu kusifia vituo vilivyoendelea, wakati hatufanyi jitihada za kuwa kama wao.
 
Pana BBC hapo.
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili, kwenye habari za michezo.
Kwenu habari ya Redknapp na QPR mmeipa kipaumbele kuliko matokeo ya CECAFA Challenge, mkaiweka ya kwanza na maelezo mareeefu huku habari ya CECAFA mkaitangaza kwa wastani wa sekunde 5.
Tunapeleka wapi michezo yetu sasa, kama kwenu QPR wana maana kuliko michuano ambayo timu yetu ya Tanganyika inashiriki. Halafu watu wasipoangalia mechi za ndani mnakuwa wa kwanza kuwashangaa wakati wajibu wenu mwautekeleza kwa magumashi.
Tafadhali, nyie ni media house na mna jukumu kubwa katika kubadili hali ilivyo...
Hata hapo TBC (TV na radio) walikuwa wakitoa kipaumbele kwa habari za England zaidi kuliko zetu achilia mbali kombe la CAF (kwa vilabu na mataifa), tukagundua kuwa BBC wapo pale. INAUDHI MNO kuwa katika miaka hii 51 ya UHURU bado tu 'wavivu wa kufikiri'.
 
Akili za kushikiwa.
Walidhani hao FA wa Uingereza waliamka tu wakakuta ligi yao imekuwa maarufu?
Na wala SI maarufu ila DSTV wameona kuwa CHETU hatukithamini ndio wanatuambia kuwa ligi ya England ni maarufu! Wanatafuta pesa tu hao na sie tunakubali kuwapa mchana kweupe.
 
Ni tatizo si kwa star TV peke yake bali hata stations zingine za TV. Mfano ni mtangazaji mchovu TBC1 waliyemweka tangu juzi kuhoji mwanamichezo atoe comments zake kabla ya mechi. kwa kweli amechoka mbaya! Anaonyesha kuwa mlevi au mgonjwa lakini pia hajui maswali ya kuuliza. Muangalieni alyeanza na michuoano anavyofanya kazi yake kwa umakini mkubwa, hajazubaa na anajua kuuliza maswali kwa mchambuzi...sijaelewa iwapo vituo vyetu vimelewa na sifa wasizonazo au ni nini?
Wanajua kumhoji aka Julio tuu hawa.
 
Na wala SI maarufu ila DSTV wameona kuwa CHETU hatukithamini ndio wanatuambia kuwa ligi ya England ni maarufu! Wanatafuta pesa tu hao na sie tunakubali kuwapa mchana kweupe.

Kuna Watanganyika nabishana nao hapa: www.jamiiforums.com/sports/361023-real-madrid-fc-the-galacticos-2.html#post5135734 kuhusu haya mambo.
Wamekubali kuwa misukule wa Ulaya hata baada ya yote haya, halafu ndio tunaowategemea kujadili mustakabali wa watu wa kawaida.
Imefika hatua watu wamejiteulia timu ya Ulaya kuwa zao, na zikifungwa wanahuzunika kweli kweli.
 
Kuna Watanganyika nabishana nao hapa: www.jamiiforums.com/sports/361023-real-madrid-fc-the-galacticos-2.html#post5135734 kuhusu haya mambo.
Wamekubali kuwa misukule wa Ulaya hata baada ya yote haya, halafu ndio tunaowategemea kujadili mustakabali wa watu wa kawaida.
Imefika hatua watu wamejiteulia timu ya Ulaya kuwa zao, na zikifungwa wanahuzunika kweli kweli.
Ndio kwa sababu kuna vichwa vya AJABU duniani hapa sijapata kuona, wanakaa na kuamua HAKUNA KUONESHA LIGI YETU 'LIVE'. Hawa jamaa wajinga kwelikweli.
Barca oyeeeeeeeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom