KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Kwa wale mtakaokuwa mnafuatilia urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya Tuzo Tanapa kwa waandishi wa habari kutoka Mwanza mtakubaliana na mimi toka wameanza sauti imekuwa ni kero tupu hebu jitahidini kujiandaa sio kwamba hafla hiyo imeshushwa ghafla kutoka angani hivyo hamkuwa mmejiandaa.